Natafuta Kazi ya Networking/IP Engineer

Natafuta Kazi ya Networking/IP Engineer

Salute mkuu, nimesoma hizi issue kidogo india ila wewe upo deep kinyama, japo nimegusagusa karibu kila eneo kwa juujuu
 
Salute mkuu, nimesoma hizi issue kidogo india ila wewe upo deep kinyama, japo nimegusagusa karibu kila eneo kwa juujuu
Unaweza ukapitia Tutorial za Youtube na ukawa uko fit ,mimi mwenyewe najiona bado kwani nina kiporo cha network automation ambacho kinanisumbua.
 
nenda computer centre posta ingia kama field mm pia nilisomaga cisco nilipita juujuu upo deep kinyama utajifunza vingi na kufanya sana hizo kazi na mwisho wanakuajiri mm nilianza kujitolea next month nikawa napewa laki 1 then 2 then 3 kila mwez wakawa wananiongeza laki moja moja niliacha baada ya hubby kunipa mtaji wa biashara now ni mkulima na mfugaji mzuri.

Kibongo bongo unasomea hiki unafanyia kazi kitu kingine chamsingi ni mkono uende kinywani. so ukifika computer centre onana na sushir muhindi anapokea watu wa field yupo poa kinoma na ndio mtoa posho ukiendanae sawa nandio mtangaza ajira na mchagua cv but kuna mkaanga sumu mmoja hivi anaitwa michael anaroho yankutu balaa ni boss boss hivi utakuta sushir amekupitisha kwa kila kigezo

anakupa nauli ila huyu baba michael akazuia kuajiliwa ukawa hata unapewa laki 5 dirishani but mkataba husign ili upate haki zingine so try pale lazima uchukuliwe omba unataka field upate uzoefu kazi ni nyingi za ndani na nje sasa ukiwa unaenda nje kufanya kazi make sure unajuana na watu huko acha cv cc tulikua tunaingia hadi ubalozini ila ndo hivo sikua deep hivyo
 
nenda computer centre posta ingia kama field mm pia nilisomaga cisco nilipita juujuu upo deep kinyama utajifunza vingi na kufanya sana hizo kazi na mwisho wanakuajiri mm nilianza kujitolea next month nikawa napewa laki 1 then 2 then 3 kila mwez wakawa wananiongeza laki moja moja niliacha baada ya hubby kunipa mtaji wa biashara now ni mkulima na mfugaji mzuri...
Kaka Asante kwa ushauri.
 
Tatizo lako unaomba pale makao makuu hebu omba level zavkanda kwakujitolea kazi inayokaribiana na hiyo. Halafu utajiongeza
Nishajaribu karibia mitandao yote mikubwa lkn sikufanikiwa , mimi sasa hivi target yangu ni hizi kampuni ndogo ndogo,hizo kubwa labda itokee kama bahati yangu.
 
Kwanini usiendelee na CCNP? mimi nina ccna lakini nimeona nisianzee kutafuta kazi kwanza maana sita pata kazi yenye hela ninayo taka... Niko kwenye safari ya CCIE maana hiyo ina hela nzuri sana ndani na nje ya nchi
 
Hukupambana vya kutosha, it is sooo easy to do subnetting
Hey there... My name is Kevin, iv seen many of your posts and be amazed by how you are dedicated to cisco certs... I am a ccna(studing my ccnp saivi) na nina wazo lakuunganisha watu wanaosoma na waliotoboa kikazi kupeanda ushauri na ushirikiano....kama utakua interested plz nicheki whatsapp nikuunge kwenye grp (0753228505)
 
Hey there... My name is Kevin, iv seen many of your posts and be amazed by how you are dedicated to cisco certs... I am a ccna(studing my ccnp saivi) na nina wazo lakuunganisha watu wanaosoma na waliotoboa kikazi kupeanda ushauri na ushirikiano....kama utakua interested plz nicheki whatsapp nikuunge kwenye grp (0753228505)
umeanza kwa mbwembwe za kingereza,mwishoni kimekupiga chenga ukarudi kwa kiswahili,hebu tumia lugha moja basi
 
Kwanini usiendelee na CCNP? mimi nina ccna lakini nimeona nisianzee kutafuta kazi kwanza maana sita pata kazi yenye hela ninayo taka... Niko kwenye safari ya CCIE maana hiyo ina hela nzuri sana ndani na nje ya nchi
CCNP ndo nini bro
 
Back
Top Bottom