navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 158
- 170
Mimi kijana 24yrs. Nimemaliza elimu yangu ya shahada ya kwanza katika chuo kikuu cha dsm.
Nimekuja kwenu kuwaomba kama kuna mtu anaweza kuni assist nikapate sehemu nikafundisha masomo hapo juu.
Nina uzoefu mzuri katika masomo tajwa hapo juu,kwani hata ufaulu wangu ni kuanzia B kwenda juu (wa miaka zile). Pia chuo nimefanikiwa kupata upper second.
Pliz share na mm deal lolote itapendeza zaid
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuja kwenu kuwaomba kama kuna mtu anaweza kuni assist nikapate sehemu nikafundisha masomo hapo juu.
Nina uzoefu mzuri katika masomo tajwa hapo juu,kwani hata ufaulu wangu ni kuanzia B kwenda juu (wa miaka zile). Pia chuo nimefanikiwa kupata upper second.
Pliz share na mm deal lolote itapendeza zaid
Sent using Jamii Forums mobile app