Natafuta kazi ya hoteli, Mwanza

Natafuta kazi ya hoteli, Mwanza

Joined
Jul 30, 2015
Posts
10
Reaction score
0
Naitwa Ely nimehitimu chuo na kufanya field Impala Hotel.

Nahitaji ajira kitengo cha restaurant ama service na nipo jijini Mwanza hata kwa anaefahamu mahali wanapohitaji wafanyakazi wa jiko la India aniambie.

No zangu ni 0765997567
 
Nenda Lakairo pale wana ajiri watu.
 
Mungu akupe haja ya moyowako br
 
OKEY MI NI MUELEWA sasa ngoja nijaribu tena mimi naitwa eliah ni mhitimu wa chuo na chuo nimesomea fani ya hoteli na utalii nahitaji kazi kitengo cha restaurant ama service hotelin tuwasiliane kwa 0674278243

Hivi vyuo vya Hoteli na utalii siku hizi wanapiha hela tu.
Yaani wewe mhitimu na field umeenda,kitengo cha Restaurant ama Service,ndio nini sasa.
Unaposema Service kwenye Hotel ina cover sehem kubwa mno katika field hiyo.

Kama vile nakuona unaandikiwa barua ya maombi.

Ila umeeleweka,sema tu uandishi wako ndio uta determine kiwango cha mshahara wako.
 
kaka tayal nimepeleka hotel kubwa za mwanza mfano gold crest. isamilo lodge,lakairo ,mwanza hotel .na nyingnezo kama 5nina mwezi nasubir majibu lakin hata simu wap kupgiwa
 
NIliposema service kwenye hotel nalimaanisha kuhudumia wageni vinywaji vya pombe na visivyo vya pombe na maranyingi mhudumu huyu hukaa mazingira ya baa japo naye huweza kuchukua oda ya chakula umenielewa au bado
 
Back
Top Bottom