All the best!
Asante kwa ushauri , Nina mpango pia wa kujiajiri nakusanya nguvu kidogo.Jiajiri kwenye kilimo mkuu,ndio sifa pekee ambayo huna na ndio sifa inayomtoa kila mtu wa chini bila upendeleo
Asante kwa ushauri , Nina mpango pia wa kujiajiri nakusanya nguvu kidogo.24 tafuta mbinu za kujiajiri kwa mtaji wa nguvu zako mwenyewe.
only an advice.
Ndio, nilifanikiwa kufanya savings kiasi japo kiugumuugumu.Huko kote ulipofanya hizo kazi ulifanikiwa kufanya savings hata kidogo??
Tuanze hapo kwanza.
Sio vibaya ungeanza nayo entrepreneurshipNdio, nilifanikiwa kufanya savings kiasi japo kiugumuugumu.
Jiajiri.Ndio, nilifanikiwa kufanya savings kiasi japo kiugumuugumu.
Embu tushauri wote hapa,Jiajiri kwenye kilimo mkuu,ndio sifa pekee ambayo huna na ndio sifa inayomtoa kila mtu wa chini bila upendeleo
Sahihi kabisa, umenena kwa hakika24 tafuta mbinu za kujiajiri kwa mtaji wa nguvu zako mwenyewe.
only an advice.
Mzee mtu anaomba msaada wa kazi,Huko kote ulipofanya hizo kazi ulifanikiwa kufanya savings hata kidogo??
Tuanze hapo kwanza.
Mzee funguka,
Haupo.Mzee mtu anaomba msaada wa kazi,
Wewe unaanza kumohoji kuhusu savings,
Mnyooshee mchongo wa kazi kama upo
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiajiri kwenye kilimo mkuu,ndio sifa pekee ambayo huna na ndio sifa inayomtoa kila mtu wa chini bila upendeleo
Unajiajiri vipi bila mtaji?ushauri kama huu vijana huuchukulia kama utani lakini kusema ukweli maisha maxuri yako hapa,mimi ndyo najua but kijana aufanyie kazi