Ebenezer J
Member
- Apr 18, 2016
- 8
- 5
Habari JF,
Mimi ni Mvulana na mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili. Nina miaka 21.Nipo Dar es salaam. Ni kijana mchapa kazi na Muaminifu.
Ninatafuta kazi part time masuala ya housekeeping. Kwa wale wanaohitaji usaidizi wa kazi zifuatazo nyumbani niko Available ; --- Nina uwezo wa kufanya usafi kwa ujumla vizuri ( general\overall cleanliness) kama vile resident's rooms, bathrooms\toilets and common areas.
Nina uwezo wa kufua vizuri k.m nguo, mashuka n.k na Kupiga pasi pia (laundry/washing & Iron clothes). Pia ninaweza kufanya gardening. Ninaweza kusafisha na kupanga nyumba vizuri( cleaning & home organizing).
Vile vile nina uwezo wa kufanya shopping kwa mahitaji ya nyumbani. Kwa yeyote anaehitaji usaidizi huo Tafadhali ni Pm.
Mimi ni Mvulana na mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili. Nina miaka 21.Nipo Dar es salaam. Ni kijana mchapa kazi na Muaminifu.
Ninatafuta kazi part time masuala ya housekeeping. Kwa wale wanaohitaji usaidizi wa kazi zifuatazo nyumbani niko Available ; --- Nina uwezo wa kufanya usafi kwa ujumla vizuri ( general\overall cleanliness) kama vile resident's rooms, bathrooms\toilets and common areas.
Nina uwezo wa kufua vizuri k.m nguo, mashuka n.k na Kupiga pasi pia (laundry/washing & Iron clothes). Pia ninaweza kufanya gardening. Ninaweza kusafisha na kupanga nyumba vizuri( cleaning & home organizing).
Vile vile nina uwezo wa kufanya shopping kwa mahitaji ya nyumbani. Kwa yeyote anaehitaji usaidizi huo Tafadhali ni Pm.