jang
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,412
- 1,173
Nadhani kwa kozi uliyosoma ungesogea dar, nadhani hivyoNashukuru kwa kunitia moyo mkuu japo kama ni kusubiri nimejitahidi
Nadhani kwa kozi uliyosoma ungesogea dar, nadhani hivyoNashukuru kwa kunitia moyo mkuu japo kama ni kusubiri nimejitahidi
Nashukuru kwa ushauriNadhani kwa kozi uliyosoma ungesogea dar, nadhani hivyo
Kuna yule sista alikuwa anauza makande Ana masters from ughaibuni .Asante kwa mawazo yako lkn sina nyenzo za kunifanya nijiajiri
Aiseee hii comment inanifanya niache kazi hivi karibuniKuna yule sista alikuwa anauza makande Ana masters from ughaibuni .
Embu jaribu mfikirie
Kuna wale wadada wa.moshi wana bachelor zao wanauza nyanya kidijitalj
Kuna.mama mmoja juzi Kati msomi anauza uji wa ulezi plus madikodiko ndani yake anauza chupa 10 per day zile kubwa kikombe Mia tano .
Just imagine anauza ngapi
Uza hio smart foni tafuta hata laki ongezea anza kuchakarika .
Hakuna kazi iliyomfanya.mtu kuwa tajjri Bali biashara na uwekezaji
Juzi Kati Kuna mtu alianza kuuza nguo za mitumba Pale kko kwenye jua alinipa figures anazoingiza kwa siku na mwezi nilistaajabu sana.
Vijana wengi wenye degree mna attitude za kidwanzi eti oooh"mi Nina degree yangu siwezi fanya hio kazi"
Matokeo yake mnadhalilika mtaani nankuishia kusimulia hustle na.mafanikio ya wengine
Pull up your socks dada
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siyo kwamba nina kaa bila kujishughurisha hapana kuna wakati nauza vitafunwa kuna wakati nafanya biashara nyingine ndogo ndogo lakini biashara haziendi kihivyo sijui na maeneo yenyewe lkn sijaachaKuna yule sista alikuwa anauza makande Ana masters from ughaibuni .
Embu jaribu mfikirie
Kuna wale wadada wa.moshi wana bachelor zao wanauza nyanya kidijitalj
Kuna.mama mmoja juzi Kati msomi anauza uji wa ulezi plus madikodiko ndani yake anauza chupa 10 per day zile kubwa kikombe Mia tano .
Just imagine anauza ngapi
Uza hio smart foni tafuta hata laki ongezea anza kuchakarika .
Hakuna kazi iliyomfanya.mtu kuwa tajjri Bali biashara na uwekezaji
Juzi Kati Kuna mtu alianza kuuza nguo za mitumba Pale kko kwenye jua alinipa figures anazoingiza kwa siku na mwezi nilistaajabu sana.
Vijana wengi wenye degree mna attitude za kidwanzi eti oooh"mi Nina degree yangu siwezi fanya hio kazi"
Matokeo yake mnadhalilika mtaani nankuishia kusimulia hustle na.mafanikio ya wengine
Pull up your socks dada
Sent using Jamii Forums mobile app
Hama huko uliko.njoo dar u hustleMkuu siyo kwamba nina kaa bila kujishughurisha hapana kuna wakati nauza vitafunwa kuna wakati nafanya biashara nyingine ndogo ndogo lakini biashara haziendi kihivyo sijui na maeneo yenyewe lkn sijaacha
Mkuu ninahuitaji wa kazi hata nikipata biashara nitafanya lkn kwa sasa naihitaji kazi
Ngoja nifanye utaratibu mkuu nione navukaje hichi kiunzi.Hama huko uliko.njoo dar u hustle
"There is no success like dar es salaam success "
Hi qoute nimeitoa kwenye serias ya travelor pale madogo Mambo yashawaharibikia mmoja akamwambia mwenzie "let's go to New York " mwingine " why new York" ajibu "there no success like new York success
The same apply to Tz
Come to dar and Chase your dreams
Mkoani labda uwe mkulima au utafute ndagu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nijue hili, kwa mawazo yako upo tayari kupokea mshahara kuanzia kiasi gani?Ngoja nifanye utaratibu mkuu nione navukaje hichi kiunzi.
Nashukuru kwa ushauri
Mkuu mshahara ni maelewano cha muhimu ni kazi itayonifanya niongeze ujuziNaomba nijue hili, kwa mawazo yako upo tayari kupokea mshahara kuanzia kiasi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja narudi kwa ushauri.Mkuu mshahara ni maelewano cha muhimu ni kazi itayonifanya niongeze ujuzi
Kuna yule sista alikuwa anauza makande Ana masters from ughaibuni .
Embu jaribu mfikirie
Kuna wale wadada wa.moshi wana bachelor zao wanauza nyanya kidijitalj
Kuna.mama mmoja juzi Kati msomi anauza uji wa ulezi plus madikodiko ndani yake anauza chupa 10 per day zile kubwa kikombe Mia tano .
Just imagine anauza ngapi
Uza hio smart foni tafuta hata laki ongezea anza kuchakarika .
Hakuna kazi iliyomfanya.mtu kuwa tajjri Bali biashara na uwekezaji
Juzi Kati Kuna mtu alianza kuuza nguo za mitumba Pale kko kwenye jua alinipa figures anazoingiza kwa siku na mwezi nilistaajabu sana.
Vijana wengi wenye degree mna attitude za kidwanzi eti oooh"mi Nina degree yangu siwezi fanya hio kazi"
Matokeo yake mnadhalilika mtaani nankuishia kusimulia hustle na.mafanikio ya wengine
Pull up your socks dada
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujiajiri mkuu siyo mwoga lkn mambo siyo rahisi kama tunavyoaminishwa wakati mwingine
Mkuu mshahara ni maelewano cha muhimu ni kazi itayonifanya niongeze ujuzi
Nasubiria jibu lako mkuu
Mkuu mbona ukapotea tena!mimi nipo serious mkuuNaomba nijue hili, kwa mawazo yako upo tayari kupokea mshahara kuanzia kiasi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kazi ulijue jiji,unadhani biashara ni rahisi kiasi hicho!!??Aiseee hii comment inanifanya niache kazi hivi karibuni