- Thread starter
- #61
Sawa mkuuUtatafuta Sana Tena Sana.. Nakushaur Nakushauri tafuta biashara hata ndogo ufanye.. Maisha hatua..
Sawa mkuuUtatafuta Sana Tena Sana.. Nakushaur Nakushauri tafuta biashara hata ndogo ufanye.. Maisha hatua..
BRELA kuna nafasi yko umeliona tangazo www.ajira.go.tzSawa mkuu
Aise, watu wana stress na maisha miaka mitano ijayo na hakika tutakuwa na vichaa wengi mtaani.Mkuu kulikuwa na haja la hili uliloliandika!?
Unapatikana wapi na umri wako?Bado sijapata mkuu
Bado sijapata mkuuUmeshapata?
Nipo mbeya mkuuUnapatikana wapi na umri wako?
Ni kwamba tu siwez kuelezea niliyofanya ambayo sijafanikiwa mpaka leo bado nasaka ajiraPole sana! nilikaa bila ajira kwa miezi 7 tu ila cha moto nilikipata, na ndio akili ikafanya kazi nikaachana na mawazo ya kuajiriwa, najaribu kufikiria umewezaje kukaa bila ajira kwa miaka 5 na bado una mawazo yaleyale au huna majukumu?
Natamani ningekua na ajira nikupe, pole sana.
Yanga wanatafuta msemaji wa chama, aliyesomea hayo mambo.Ni kwamba tu siwez kuelezea niliyofanya ambayo sijafanikiwa mpaka leo bado nasaka ajira
Ok sawa unge dmBado sijapata mkuu
Upo mbali sana, una ratiba ya kuja dar hivi karibuni?Nipo mbeya mkuu
Sina ratiba ya kuja dar mkuu lakin ikinipasa kufika huko nitafikaUpo mbali sana, una ratiba ya kuja dar hivi karibuni?
Pole zyusual-kwa nn hupati kaz? naomba sbb 3Nashukuru kwa ushauri mkuu,kama kuzunguka office kwa office na bahasha nimefanya sana tu siyo Mbeya peke yake mpaka Dar ni miaka siyo chini ya mitano nina saka ajira lkn sijakata tamaa naendelea kutafuta
Kujiajiri kunahitaji capital
Sijajua kama maombi ya kazi natuma sanaPole zyusual-kwa nn hupati kaz? naomba sbb 3
Muda wako ukifika Ryu tuuu utapata, don't give upSijajua kama maombi ya kazi natuma sana
Nashukuru kwa kunitia moyo mkuu japo kama ni kusubiri nimejitahidiMuda wako ukifika Ryu tuuu utapata, don't give up