Natafuta kazi nimesoma IT

Natafuta kazi nimesoma IT

Micky1989

Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
31
Reaction score
0
Nina certificate ila ninauzoefu Mkubwa hata naweza kufanya vitu vingi kwenye computer kuzidi mtu mwenye diplomer au degree
 
Nina certificate ila ninauzoefu Mkubwa hata naweza kufanya vitu vingi kwenye computer kuzidi mtu mwenye diplomer au degree

Acha mbwembwe...taja vitu unavyoweza kufanya kuliko kumdharau mtu wa diploma na degree...Bear in mind,kuna baadhi ya ofisi wanataka watu wenye level flani ya elimu na sio kwasabu kuna vitu unavijua...Wakisema degree ni degree tu na hawawezi kumchukua mtu mwenye level ya certificate eti sababu ana uzoefu
 
Programming languages gani unatumia au ambazo una uwezo nazo?
 
Wewe kwa tunaoijua IT hauwezi kuwa fit sehemu zote hizo,
Kalale tu...

acha dharau wewe kuna dogo mtaani kwangu o level lakin mambo ya IT anaweza si kawaida hizo progrmming na vitu kibao. Tatizo umekarilishwa mtu kujua kitu flan mpaka shule.
 
Kwa certificate utasota sana,jaribu kuangalia namna utakavyoweza kujiajiri mwenyewe otherwise ongeza elimu yako. Hata mimi nilijaribu kutafuta ajira kwa level hiyo lakini mambo yalikuwa magumu,compitants ni wengi na wana elimu kubwa zaidi,kwa hiyo ongeza elimu yako ili uweze kushindana,kwenye interview unakutana na wenye diploma na zaidi wakati nafasi iliyotangazwa ni certificate kwa hiyo jipange. Mimi nilibadili fani sasa hivi mambo mazuri tu.
 
Kuna jamaa alikuja kwenye nchi ninayoishi akiwa na degree ya computer science!!!!!!!!!!!!tulimkaribisha jamaa kama kawaida yetu watanzania
alisema ni mtaalam mkubwa sana wa computer na ana experience
mteja akatokea na computer mpya na ya zamami,alitaka tufanye back up kutoka computer ya zamamni na kuhamishia data zote computer mpya
tukamwachia jamaa afanye kazi tukatoka
tuliporudi ni hahaaaaahaaaaa,hakuna kitu,,,wabongo bado bwana
 
bado sana kwa hyo level yako, kujua kuweka window sio 7bu, hata ukpata kaz mshahara utakua n mdogo, na mbwembwe, ulzokuja nazo cdhan kama unajua kazi vizuri, m naweza kukusaidia endapo utanambia umewah kufanya kaz mpaka unajcfia.
 
Msimkatishe tamaa

Mjue jinsi ya kumsaidie mwana jf mwezutu
 
bado sana kwa hyo level yako, kujua kuweka window sio 7bu, hata ukpata kaz mshahara utakua n mdogo, na mbwembwe, ulzokuja nazo cdhan kama unajua kazi vizuri, m naweza kukusaidia endapo utanambia umewah kufanya kaz mpaka unajcfia.
 
mdogo wangu mimi kaka yako nina
1.certifacate in it
2.diploma in it
3.degree in it

nina proffesional course ya cisco it essentials,ccna,ccna security, certified ethinical hacking,.....jiongezee mdodo wangu ulichosoma ni sample ya introductions jiongezee mdogo wangu...
 
Tatizo sio kuwa na cheti, unaweza kufanya nini na hicho cheti ndio cha muhimu zaidi. Jitahidi kuelezea unaujuzi gani na unaweza kufanya nini katika eneo la IT.
Cha mwisho kabisa, unaweza ukaandika kiswahili na ukaeleweka vizuri tu.
 
Bora hata ungesoma certificate ya clearing and forwarding!kwa sasa mtu akisoma ACCOUNTS au IT au LAW au Human Resources imekula kwake wapo wengi mtaani sana
 
Bora hata ungesoma certificate ya clearing and forwarding!kwa sasa mtu akisoma ACCOUNTS au IT au LAW au Human Resources imekula kwake wapo wengi mtaani sana

Wewe kweli bongolala. Kuwa wengi mtaani si tatizo. Angalia uhitaji wao nao kwenye ajira. Unaweza ujasomea hayo unayoyajua wewe na ukaozea mtaani kama kawaida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom