barbieloree
Member
- Jan 2, 2024
- 35
- 91
- Thread starter
- #21
Alafu ukiwa unatafuta kazi usiseme huna ujuzi wowote.
Kazi ambazo ziko na zinapatikaa kwa wingi ni za Sales.
Sasa uwe unasema kuwa unaweza kufanya sales and marketing.
Wakikuuliza sales zipi au wapi utasema kuwa ushawah kuuza Duka (liwe la Mangi, nguo au vipodozi), au ushawah kufanya kazi za uwakala na miamala ya simu, nk.
Kwahiyo jifunze na jifanyie mazoezi eneo hilo.
Lakini usiseme Huna ujuzi wowote.
sawa mdogo wangu?. barbieloree
Asante kaka nimekuelewa