Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

Huku angelima mazao ya biashara kama ufuta mimi ndio nadeal nao pia ningempa mwanga na kumuongoza apate eneo awekeze kwavile kijana ukikomaa kama Kweli mtafutaji inshallah angejikwamua lakini sijaeleweka.

Sijaomba kazi kwa sababu sitaki kufanya kazi au nimezoea kukaa. Kama ningekuwa na uwezo wa kifedha, nisingekuwa napost kuomba kazi. Kuhusu kulima, si jambo la kusema tu “enda ukalime.” Lazima nikodi shamba, ninunue au nipate vifaa vya kilimo, nitafute sehemu ya kuishi, na kwa sasa eneo hilo ni ugenini kwangu. Hivyo siwezi kuamka leo nikaanza kulima bila maandalizi na mtaji. Ndio maana natafuta kazi kwanza ili nipate kipato na niweze kujisimamia. Kama una nafasi ya kazi au una njia ya kunisaidia kupata kazi, nitashukuru sana. Lakini kunielekeza nilime bila kuangalia mazingira yangu hakutatatua tatizo nililonalo.
 
Sijaomba kazi kwa sababu sitaki kufanya kazi au nimezoea kukaa. Kama ningekuwa na uwezo wa kifedha, nisingekuwa napost kuomba kazi. Kuhusu kulima, si jambo la kusema tu “enda ukalime.” Lazima nikodi shamba, ninunue au nipate vifaa vya kilimo, nitafute sehemu ya kuishi, na kwa sasa eneo hilo ni ugenini kwangu. Hivyo siwezi kuamka leo nikaanza kulima bila maandalizi na mtaji. Ndio maana natafuta kazi kwanza ili nipate kipato na niweze kujisimamia. Kama una nafasi ya kazi au una njia ya kunisaidia kupata kazi, nitashukuru sana. Lakini kunielekeza nilime bila kuangalia mazingira yangu hakutatatua tatizo nililonalo.
Sawa
 
Mtu yeyote anayejitambua ukishamwambia kazi yoyote hawezi poteza muda kukupa kazi. Kwa sababu ni wazi Utampotezea muda wake.

Hapo utaulizwa ulinzi, utasema hapana. Atakuuliza mwingine Kutembeza bidhaa, utasema hapana. Kiufupi hakuna atakayekupa kazi anayejua watu wa aina hii
Nimekuelewa mkuu umeongea point kweli.
 
Back
Top Bottom