Natafuta kazi mgodini Geita

Natafuta kazi mgodini Geita

Habari ndugu zangu,

Mimi ni kijana wakitanzania naishi Kanda ya ziwa,natafuta kazi maeneo ya mgodini,elimi yangu ni chuo kikuu. Nina uzoefu na kazi hii kwa miaka miwili.

Naweza fanya kazi kama mkemia au operator, umri wangu miaka 27
Mkuu ulishapata mishe?
 
Back
Top Bottom