Ofisi ipi mkuu
Acha kujishusha kiasi hicho. Hata bure, haya nenda Ofisi yangu ya Kigoma
mkuu mimi mwenyewe natafuta cjapata cpa nilipata 2013
Habari,Mimi nimemaliza shahada ya uhasibu na nina module E ya CPA.ninasubiria majibu ya module F.ninaomba kazi kwenye auditing firm hata bure ili nipate uzoefu maana sijawahi kufanya kazi yeyote ya auditing
Acha kujishusha kiasi hicho. Hata bure, haya nenda Ofisi yangu ya Kigoma
Poa kaka mi nipo DSM na kesho nitaenda
acha kutudanganya una cpa halafu ukose auditing firm mkuu ulipataje hilo gamba la nbaa?