Unaishi maeneo gani?
Na staus yako kifedha ikoje?
Maarufu hapa dar
kakobe - walofulia(sinza, karibu na mlimani city)
mwingira - middle klasi(Mwenge???)
kuna fernandes- civilised, sijui location
mzee wa upako - mixer(Ubungo kibangu)
Mch, Mh, Dk rwakatare - matawi ya juu(mikocheni)