milcyphina_tz
Member
- May 24, 2019
- 12
- 1
Habari zenu ndugu zangu ......nilikuwa naomba msaada wa ushauri na mawazo na maoni juu ya jina bora la kampuni .....nataka kuanzisha kampuni ambayo itajishunghulisha na mambo mengi kama kutengeneza logo itayokaa kwenye nguo ......stationary.... Bakery.....Saloon na kiwanda cha kutengeneza fresh juice .......Nasikiliza mawazo yenu ndugu zangu ili niweze kupata jina bora la kampuni litakaloniwezesha kutangaza hizo biashara kwa urahisi zaidi ...Asanteni!!!!