Salaamu wakuu!
Ninaishi Dar es Salaam,natafuta msaidizi wa kazi za nyumbani mwenye sifa zifuatazo;
Ninaishi Dar es Salaam,natafuta msaidizi wa kazi za nyumbani mwenye sifa zifuatazo;
- Mwenye umri si chini ya miaka kumi na tano wala zaidi ya miaka 20
- Anaejua kusoma na kuandika
- Napendelea wa kutoka mkoani hasa mkoa wa Iringa
- Awa smart na sharp