hata kama mnafanya kazi nje ya nyumba,nafikiri mkijipangilia wewe na mumeo utaratibu mzuri kabisa hamuhitaji mtu wa kuwasaidia na vilevile inazidisha upendo kati yenu
wacha kuturusha roho wajameni!
Salaamu wakuu!
Ninaishi Dar es Salaam,natafuta msaidizi wa kazi za nyumbani mwenye sifa zifuatazo;
Nitashukuru pia kama mnaweza kuniiunganisha na kampuni za wanaotoa huduma hizi
- Mwenye umri si chini ya miaka kumi na tano wala zaidi ya miaka 20
- Anaejua kusoma na kuandika
- Napendelea wa kutoka mkoani hasa mkoa wa Iringa
- Awa smart na sharp
Hata mi wa Tanga sishauri,mme wangu maji simuwekei,chai ya mdalasini hapati,udi sipulizi,kanga moja sivai..............ni kukaribisha tu ushindani na worries,huyo huyo wa Iringa,wa Kigoma wakijua mji utawachukia......all the best!
Hata mi wa Tanga sishauri,mme wangu maji simuwekei,chai ya mdalasini hapati,udi sipulizi,kanga moja sivai..............ni kukaribisha tu ushindani na worries,huyo huyo wa Iringa,wa Kigoma wakijua mji utawachukia......all the best!