Natafuta hilo dude hapo pichani

Natafuta hilo dude hapo pichani

Kama upo Arusha Mjini njo hapa Msikiti wa Bondeni kuna (Sport Shop)utapata izoExersise Ball ni Tsh65,000/ tu.
mkuu vile vyuma vya kupigia zoezi

kilo mbili, tatu au tano(aina ile ambayo unaweza kukimbia nayo mkononi sina uhakika na huo uzito niliotaja) inaweza kuwa shi ngapi?
 
Nilinunua mwaka jana kama elfu 45 hivi. Hata GAME mlimani unaweza kupata.
 
mkuu vile vyuma vya kupigia zoezi

kilo mbili, tatu au tano(aina ile ambayo unaweza kukimbia nayo mkononi sina uhakika na huo uzito niliotaja) inaweza kuwa shi ngapi?
Ni pm kaka kwa bei nitakuulizia mimi sio muhusika kivile ila Dada yangu naye yupo hapo (sport shop)So unaweza ukaja private nikakufafanulia zaid kama utahitaji kweli according to my sister. Karibu Sana..
 
Ni pm kaka kwa bei nitakuulizia mimi sio muhusika kivile ila Dada yangu naye yupo hapo (sport shop)So unaweza ukaja private nikakufafanulia zaid kama utahitaji kweli according to my sister. Karibu Sana..
asante nitakutafuta.
 
10593457_211298009206280_1848764355_n-jpg.407115

Mimi naona madude mawili sasa sijui ni lipi mkuu analitaka?
 
Mbio zangu zoote za kukimbilia kucoment dude la chini unalotafuta...naishia kuliona tufe la kuongeza chura!
 
Back
Top Bottom