Natafuta graphics card

Natafuta graphics card

itacheza games zote kwa 720p na pia games nyingi utacheza kwa 1080p. kama una powersupply alioitaja hapo juu ni gpu nzuri kwa hio bei

Mbona mm niliambiwaga huwezi kubadilisha graphics card na kuna uwezekano mkubwa wa kuua pc, ilikua 2012 ila leo nashangaa
 
Mbona mm niliambiwaga huwezi kubadilisha graphics card na kuna uwezekano mkubwa wa kuua pc, ilikua 2012 ila leo nashangaa
kwa desktop kubadili graphics card ni rahisi kuliko hata kutia ufunguo kwenye mlango. unaichomeka tu haina utaalamu wowote. ni laptop ambazo haziruhusu mambo haya
 
kwa desktop kubadili graphics card ni rahisi kuliko hata kutia ufunguo kwenye mlango. unaichomeka tu haina utaalamu wowote. ni laptop ambazo haziruhusu mambo haya

asante kijana nimekuelewa, kumbe naweza kutoa intel nikaweka NVIDIA GEFORCE 700 au AMD, btw mimi nilikua nataka nifanye kwa PC
 
asante kijana nimekuelewa, kumbe naweza kutoa intel nikaweka NVIDIA GEFORCE 700 au AMD, btw mimi nilikua nataka nifanye kwa PC
mkuu kuna gpu za aina mbili

-gpu zinazokuja na processor kifupi IGP
-gpu zinazojitegemea kifupi DGP

Hao intel wao wanatengeneza hizo IGP, hizo hazitoki na hazina nguvu sana

nvidia yeye hutengeneza DGP ambazo unachomeka kuiongezea pc nguvu kama gpu iliokuja na processor haikutoshelezi.

Amd yeye anatengeneza zote IGP na DGP.

hivyo hio ya intel huwezi itoa bali unaiongezea kwa juu
 
mkuu kuna gpu za aina mbili

-gpu zinazokuja na processor kifupi IGP
-gpu zinazojitegemea kifupi DGP

Hao intel wao wanatengeneza hizo IGP, hizo hazitoki na hazina nguvu sana

nvidia yeye hutengeneza DGP ambazo unachomeka kuiongezea pc nguvu kama gpu iliokuja na processor haikutoshelezi.

Amd yeye anatengeneza zote IGP na DGP.

hivyo hio ya intel huwezi itoa bali unaiongezea kwa juu

DGP inapatikana wap
 
Kumbukeni na issue ya power supply inahitaji iwe na nguvu ya kutosha (WATTS) na iwe na connector ambazo ni compatible na hiyo graphics card utakayonunua.
Pia hakikisha hiyo graphics card itafit kwenye kopo lako la kompyuta na motherboard ina sehema ya kuichomeka.
 
Chief ina maana laptop hauwezi ongezea graphic card
laptop zenye thunderbolt 3 ndio unaweza ukaeka external gpu, lakini bei zake kwa sasa bado zipo juu. laptop hizi zote ni za kisasa zimetoka 2015 mwishoni na kuendelea.
 
Naweza kupata wapi power supply ya kuchomeka na gpu Chief-Mkwawa
powersupply zipo pale mtaa wa likoma mkabala na KKKT kuna duka linaitwa kaale sema ni used. alternative cheki machinga complex.

kwa mpya nimeziona duka moja la wasomali uhuru na swahili kama unakuja congo linaangalizana na ile sheli sijui ya Total ile ya rangi nyekundu. sema wanauza 30,000 hio bei inaonesha ni za kichina.

una gpu tayari? Amd wana gpu mpya za RX550 hizi ni best kwa oem desktop za dell hp lenovo etc zinatumia watts 50 tu hivyo zinaingia almost desktop yoyote bila kuhitaji kueka power supply mpya na bei ni chini ya dola 100 na zina nguvu kushinda hata gtx 750ti.
 
powersupply zipo pale mtaa wa likoma mkabala na KKKT kuna duka linaitwa kaale sema ni used. alternative cheki machinga complex.

kwa mpya nimeziona duka moja la wasomali uhuru na swahili kama unakuja congo linaangalizana na ile sheli sijui ya Total ile ya rangi nyekundu. sema wanauza 30,000 hio bei inaonesha ni za kichina.

una gpu tayari? Amd wana gpu mpya za RX550 hizi ni best kwa oem desktop za dell hp lenovo etc zinatumia watts 50 tu hivyo zinaingia almost desktop yoyote bila kuhitaji kueka power supply mpya na bei ni chini ya dola 100 na zina nguvu kushinda hata gtx 750ti.
Nimeshaagiza gtx 660 sema hii desktop power supply yake ni 250 watt
 
ni hizi za kina dell na HP au ni desktop ipi? power supply yake ya sasa ni pin ngapi?
Ni dell optilex ya sasa haina kabisa pin kwa ajili ya gpu waya zake zote zimeshaenda kwenye parts tofauti hamna waya iliyobaki
 
Ni dell optilex ya sasa haina kabisa pin kwa ajili ya gpu waya zake zote zimeshaenda kwenye parts tofauti hamna waya iliyobaki
Kama itakuwa ni dell optiplex 9020 unahitaji wire kwa ajili ya hiyo power supply mpya, hizo 9020 psu zake zina pin 8 tu, wakati standard ATX psu zina 20 hadi 22 pin.
 
powersupply zipo pale mtaa wa likoma mkabala na KKKT kuna duka linaitwa kaale sema ni used. alternative cheki machinga complex.

kwa mpya nimeziona duka moja la wasomali uhuru na swahili kama unakuja congo linaangalizana na ile sheli sijui ya Total ile ya rangi nyekundu. sema wanauza 30,000 hio bei inaonesha ni za kichina.

una gpu tayari? Amd wana gpu mpya za RX550 hizi ni best kwa oem desktop za dell hp lenovo etc zinatumia watts 50 tu hivyo zinaingia almost desktop yoyote bila kuhitaji kueka power supply mpya na bei ni chini ya dola 100 na zina nguvu kushinda hata gtx 750ti.
mkuu hiyo radion RX550 ni 4gb au 2gb

ina mana bei haizidi lak 2?
 
Back
Top Bottom