Habari?
Nataka gari ya kubebea mizigo ya shamba, kama mbolea , magunia ya mahindi nk kwa bajeti isiyozidi 20M . Naweza kupata gari gani? Napatikana Tunduma , songwe.
Habari?
Nataka gari ya kubebea mizigo ya shamba, kama mbolea , magunia ya mahindi nk kwa bajeti isiyozidi 20M . Naweza kupata gari gani? Napatikana Tunduma , songwe.
Pls nami natafuta Canter Tiper yenye vigezo vifuatavyo
Injini: 4D33 au 4D35
Uwezo: Tani 2 au zaidi
Mwaka: 1995 kupanda juu
Spring: Pote ( mbele na nyuma). Iwe inabebea juu nikimanisha spring ziwe juu ya axle na sio chini.