Natafuta gari ya mizigo ya shambani isiyozidi 20M

MENISON

JF-Expert Member
Apr 26, 2013
726
622
Habari?
Nataka gari ya kubebea mizigo ya shamba, kama mbolea , magunia ya mahindi nk kwa bajeti isiyozidi 20M . Naweza kupata gari gani? Napatikana Tunduma , songwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pls nami natafuta Canter Tiper yenye vigezo vifuatavyo
Injini: 4D33 au 4D35
Uwezo: Tani 2 au zaidi
Mwaka: 1995 kupanda juu
Spring: Pote ( mbele na nyuma). Iwe inabebea juu nikimanisha spring ziwe juu ya axle na sio chini.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…