MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 622
Habari?
Nataka gari ya kubebea mizigo ya shamba, kama mbolea , magunia ya mahindi nk kwa bajeti isiyozidi 20M . Naweza kupata gari gani? Napatikana Tunduma , songwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka gari ya kubebea mizigo ya shamba, kama mbolea , magunia ya mahindi nk kwa bajeti isiyozidi 20M . Naweza kupata gari gani? Napatikana Tunduma , songwe.
Sent using Jamii Forums mobile app