Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,041
- 13,688
Magari ni Mengiii
Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
ShukraniSifahamu.
Wapigie Bajaj wenyewe uwaulize.
DISTRIBUTOR ADDRESS
FAIR DEAL AUTO PVT LTD.
PO BOX 77877 NYERERE ROAD
(PUGU ROAD) OPP. TANZANIA CIGARETTE CO.
DAR-ES-SALAAM, TANZANIA
Telephone: 0719494872
VIP naweza kusafirishiwa kuja mtwara?M
Mpya ni m7 na laki mbili hivi
Carina ya 3m itakua hoi bin taaban.
Unafuata Dar
Ndo umeandika nini hapa?!?! Yaaani nyie mnaoamini kwenye namba nawatamanigi niwapige mpaka fahamu ziwarejee.Bei siyo tatizo. Imetembea km ngapi, engine ikoje? Take care gari namba A.... usibweteke na rangi inapakwa tuu.
otherwise kila la heri
Naunga mkono hoja hao wanaoangalia No. endelea kuwapiga mpk akili zikae sawa bin sawia.Ndo umeandika nini hapa?!?! Yaaani nyie mnaoamini kwenye namba nawatamanigi niwapige mpaka fahamu ziwarejee.
NB: ACHA ROHO MBAYA
Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
Wajinga kwelikweliNaunga mkono hoja hao wanaoangalia No. endelea kuwapiga mpk akili zikae sawa bin sawia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo umeandika nini hapa?!?! Yaaani nyie mnaoamini kwenye namba nawatamanigi niwapige mpaka fahamu ziwarejee.
NB: ACHA ROHO MBAYA
Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
Mkuu kuna mtu anahitaji Cresta Gx 100 ya 2million.Magari ni MengiiiView attachment 1036874View attachment 1036875View attachment 1036876
Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
Ngoja niingie chimbo
Ukiipata nipe taarifaNgoja niingie chimbo
Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
Kaka tafuta Toyota duet kwa mtu nadhani unaweza kupata ata kwa million 1 alafu izo mbili ukaenda kui pimpnatafuta gari used ya kufanya taxi.. budget 3m...automatic transmission/four clinders. whatsapp me 0627929219.
machaguo:
corona
corolla
carina ti
starlet
asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnataka anunue GX100 alafu aifanye taxi mtamuua kwa presha za mafutaMagari ni MengiiiView attachment 1036874View attachment 1036875View attachment 1036876
Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
Bei ni 2.7 maelewano yapo mkuu
Mnataka anunue GX100 alafu aifanye taxi mtamuua kwa presha za mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
wakati wa kununua gari used, nenda na mtaalamu akague gari kabla ya manunuzi au tumia taasisi kama NIT wafanye ukaguzi sikwepe gharama ukanunua kimeoDah kweli mkuu angalau Bajaj inaweza kusukuma sukuma akaweza kujikimu.
Ila kwa upande wa Taxi ya kununua milioni 3 itamsumbua sana.
Itakuwa trip moja barabarani trip moja gereji
Sent using Jamii Forums mobile app