Natafuta gari ndogo

Natafuta gari ndogo

Naoana watu wanagombania deal.. ukishindwana nao nicheck PM
 
Habari wana jf. Natafuta gari ndogo mf ist kama kuna mtu anauza nijuze please isizid 6 mil
Nina tayota premio namba C. Iko vzr. Tuwasiliane uniongezee kidogo nikupe. Chuma kipo Mwanza.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi kuna kudaiwa nini? Au ndo umezoea kusema hilo neno

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
kuwa makini watu wanachukulia gadi mikopo na wanarudi kucheza na tra wana printiwa kadi tena wanauza gari msala unabaki wako ulizani ni madeni ya tra tu.
 
Habari wana jf. Natafuta gari ndogo mf ist kama kuna mtu anauza nijuze please isizid 6 mil
Mkuu ipo Suzuki jimny kwa hiyo hiyo bei ukiwa tayari nipm nikuunganishe na muuzaji.

huwezi kuwa shujaa bila kuwa muhuni
 
Habari wapendwa kama vipi mnicheki WhatsApp na picha ya gari Tafadhali 0755952466
 
6abb86f273b34a123f0913cd720bfc8d.jpg
2180d6124d7ecb2c3a577a2285179118.jpg
4f16bd53a8cab72d9aaa6669e74f2986.jpg
a7e9019778cba3a95a91dc2650fa6882.jpg
a4c05956bdd51842829c846b0be5ae24.jpg
0d0f8a4ed0f52c421750a32ad0430bcb.jpg
23f400ff0b481267a764fb419701bc9d.jpg
4fb11414f0dba5d8dc5a45da238b69c9.jpg


spend less, save more
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom