Nina tayota premio namba C. Iko vzr. Tuwasiliane uniongezee kidogo nikupe. Chuma kipo Mwanza.Habari wana jf. Natafuta gari ndogo mf ist kama kuna mtu anauza nijuze please isizid 6 mil
kuwa makini watu wanachukulia gadi mikopo na wanarudi kucheza na tra wana printiwa kadi tena wanauza gari msala unabaki wako ulizani ni madeni ya tra tu.Siku hizi kuna kudaiwa nini? Au ndo umezoea kusema hilo neno
Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
Mkuu ipo Suzuki jimny kwa hiyo hiyo bei ukiwa tayari nipm nikuunganishe na muuzaji.Habari wana jf. Natafuta gari ndogo mf ist kama kuna mtu anauza nijuze please isizid 6 mil
oya mkuu ebu funguka kuhuusu hii Gari Afu tupia PichaMkuu ipo Suzuki jimny kwa hiyo hiyo bei ukiwa tayari nipm nikuunganishe na muuzaji.
huwezi kuwa shujaa bila kuwa muhuni
Thanks ''DG''
Weka pichaMkuu ipo Suzuki jimny kwa hiyo hiyo bei ukiwa tayari nipm nikuunganishe na muuzaji.
huwezi kuwa shujaa bila kuwa muhuni
Ipo bado ..?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
spend less, save more
Weka no nikutumie pichaHabari wana jf. Natafuta gari ndogo mf ist kama kuna mtu anauza nijuze please isizid 6 mil