Natafuta gari la kununua

Natafuta gari la kununua

edinajailos

Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
22
Reaction score
18
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( kama anaweza pata new model itakuwa nzuri zaidi); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina iliyotajwa au kwa anayejua aina nzuri ya gari ambalo inaweza kutembea masafa marefu kwa gharama hiyo hapo juu. Nisaidieni please!!!
 
Mbona show rooms zipo nyingi hapo Dar?
 
Hongera ndugu kwa kufikia uamuzi wa kununua gari
Ombi langu sisi waenda kwa miguu usitusahau barabarani kuwa bado tupo
 
Back
Top Bottom