Natafuta Fundi wa HP Laptop

Natafuta Fundi wa HP Laptop

myplusbee

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
3,612
Reaction score
6,161
Wadau natafuta fundi SERIOUS wa Laptop! Msisitizo ni hapo kwenye SERIOUS manake nina uzoefu na tech wannabe wa JF. Nina personal problems so it sucks unasumbua mtu maybe kutoka Gongo La Mboto hadi Mwenge wakati unajua kabisa huna uzoefu wa hizi kazi; kumbe unataka kujaribu!!!

Anyway, laptop husika ni HP; made in China! Nimeshindwa kusoma model yake. Hata hivyo, sijafahamu tatizo ni nini hasa, ingawaje nadhani, mosi, OS (Win10) itakuwa ime-corrupt na pili kuna tatizo kwenye power system. Hili la power ndio tatizo la msingi kwangu.

TATIZO LILIVYOTOKEA!

Ilikuwa usiku naangalia movie kwa kutumia laptop! Nilipochoka, nikaifunika tu bila kuzima nikaenda zangu kulala! Asubuhi nilipoiwasha ikafanya kama inawaka kisha ikatoa maandishi ambayo miongoni mwake yalisomeka "missing file... recovery...!" Nika-panic kweli kweli kwa sababu sikutakiwa kuishi bila laptop japo kwa saa moja!Kutokana na panic, faster nikaizima manually!

Baada ya hapo ikawa kila nikiwasha, holaa! Na mara power indicator ikawa haisomi tena! Kwavile sikuwa na suluhisho la haraka, nikalazimika kuiweka pembeni kwanza! Hadi hapa ninapoandika, ina takribani mwaka mmoja ikiwa ghalani.
 
Boss ungejaribu kuweka hata picha hapa ili tuione maana umeshindwa kupata model yake maana kutibu computer model number huwa ni njia ya kujua suluhisho pia.
lakini pia kwa haraka haraka hapo tukiangalia ile siku ya kwanza ilipo kuandikia something like.....recovery..and so, so... hapo inawezekana OS ili corrupt na hapo inaweza kuwa pia HDD ili pata shida pia. Lakini pia kuna sehemu sijaweza kukuapata vzuri ulipo sema kuwa baadaye "Power indicator haisomi tena.." hapa sijui sasa ilianza kutokuonesha power haiingii baada ya mda gani? je ni siku chache kutoka siku ilipoleta shida? au ni baada ya kuiweka kwa mda ndo ukaja kuikuta na shida hiyo ya pili? kama ni baada ya mda inawezekana power adapter nayo imesha haribika, au pia battery imeharibika (maana kuna baadhi ya computer ikiharibika battery au ukiichomoa battery, ukiweka adpter (charger) huwa power indicator haiwaki)...
 
Boss ungejaribu kuweka hata picha hapa ili tuione maana umeshindwa kupata model yake maana kutibu computer model number huwa ni njia ya kujua suluhisho pia.
lakini pia kwa haraka haraka hapo tukiangalia ile siku ya kwanza ilipo kuandikia something like.....recovery..and so, so... hapo inawezekana OS ili corrupt na hapo inaweza kuwa pia HDD ili pata shida pia. Lakini pia kuna sehemu sijaweza kukuapata vzuri ulipo sema kuwa baadaye "Power indicator haisomi tena.." hapa sijui sasa ilianza kutokuonesha power haiingii baada ya mda gani? je ni siku chache kutoka siku ilipoleta shida? au ni baada ya kuiweka kwa mda ndo ukaja kuikuta na shida hiyo ya pili? kama ni baada ya mda inawezekana power adapter nayo imesha haribika, au pia battery imeharibika (maana kuna baadhi ya computer ikiharibika battery au ukiichomoa battery, ukiweka adpter (charger) huwa power indicator haiwaki)...
Malisa nami nisaidie. Laptop yangu ya HP split type, key board haifanyi kazi. Mara inatype mara inaacha. Nikanunua key board ya remote controlled, hiyo inafanya kazi vizuri. Ilitoka USA brand new. Siku hiyo hiyo naanza kutumia inaanza mchezo huo, nisaidie bwana tafadhali
 
Malisa nami nisaidie. Laptop yangu ya HP split type, key board haifanyi kazi. Mara inatype mara inaacha. Nikanunua key board ya remote controlled, hiyo inafanya kazi vizuri. Ilitoka USA brand new. Siku hiyo hiyo naanza kutumia inaanza mchezo huo, nisaidie bwana tafadhali
Ndg laptop keyboard hainaga ufundi kabisa.,yaani huwa ikiwa katika keybord one key haifanyi kazi lazima utatakiwa kubadilisha keyboard nzima... sasa sijakupata kidogo model ya computer yako..naomba uweke model number ya computer yako ili nichek kama ninayo niweze kukuwekea kama upo Dar.
 
Ndg laptop keyboard hainaga ufundi kabisa.,yaani huwa ikiwa katika keybord one key haifanyi kazi lazima utatakiwa kubadilisha keyboard nzima... sasa sijakupata kidogo model ya computer yako..naomba uweke model number ya computer yako ili nichek kama ninayo niweze kukuwekea kama upo Dar.
Nilimwacchia mwanangu Dar atafute fundi , hajampata, ngoja nimwambie aniangalizie model nikutumie.
Siyo kuwa key moja ndiyo haifanyi kazi hapana, zote keys hazifanyi kazi. Muda mwingine inafanya , muda mwingine inagoma.
 
Nilimwacchia mwanangu Dar atafute fundi , hajampata, ngoja nimwambie aniangalizie model nikutumie.
Siyo kuwa key moja ndiyo haifanyi kazi hapana, zote keys hazifanyi kazi. Muda mwingine inafanya , muda mwingine inagoma.
Chakufanya hapo ni kuifungua na kupuliza vumbi,ksha chomoa na kuchomeka mkanda wa keyboard.
Ndg laptop keyboard hainaga ufundi kabisa.,yaani huwa ikiwa katika keybord one key haifanyi kazi lazima utatakiwa kubadilisha keyboard nzima... sasa sijakupata kidogo model ya computer yako..naomba uweke model number ya computer yako ili nichek kama ninayo niweze kukuwekea kama upo Dar.
 
Boss ungejaribu kuweka hata picha hapa ili tuione maana umeshindwa kupata model yake maana kutibu computer model number huwa ni njia ya kujua suluhisho pia.
Mkuu, baada ya kuhangaika sana, nikapata Model No. 15-1039 WM lakini nilipo-Google, sijui ni tofauti au vp, huko nikakutana na Model No. F15-1039 WM. Ni kama sikuiona hiyo F.
Lakini pia kuna sehemu sijaweza kukuapata vzuri ulipo sema kuwa baadaye "Power indicator haisomi tena.." hapa sijui sasa ilianza kutokuonesha power haiingii baada ya mda gani? je ni siku chache kutoka siku ilipoleta shida? au ni baada ya kuiweka kwa mda ndo ukaja kuikuta na shida hiyo ya pili? kama ni baada ya mda inawezekana power adapter nayo imesha haribika, au pia battery imeharibika (maana kuna baadhi ya computer ikiharibika battery au ukiichomoa battery, ukiweka adpter (charger) huwa power indicator haiwaki)...
Kuhusu indicator, hilo suala lilianza ndani ya 3-5 tangu siku ilipozima. Ilipozima kwa mara kwanza, ilikuwa uki-plug unaona kabisa ile taa lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda; ikawa hadi uitekenye tekenye pin ya adapter ndipo utaona inawaka lakini siku chache baadae, ikawa haiwaki tena.
 
Mkuu, baada ya kuhangaika sana, nikapata Model No. 15-1039 WM lakini nilipo-Google, sijui ni tofauti au vp, huko nikakutana na Model No. F15-1039 WM. Ni kama sikuiona hiyo F.Kuhusu indicator, hilo suala lilianza ndani ya 3-5 tangu siku ilipozima. Ilipozima kwa mara kwanza, ilikuwa uki-plug unaona kabisa ile taa lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda; ikawa hadi uitekenye tekenye pin ya adapter ndipo utaona inawaka lakini siku chache baadae, ikawa haiwaki tena.
Basi hapo jaribu kuweka Adapter nyingine uone kama itawaka?
 
Wadau natafuta fundi SERIOUS wa Laptop! Msisitizo ni hapo kwenye SERIOUS manake nina uzoefu na tech wannabe wa JF. Nina personal problems so it sucks unasumbua mtu maybe kutoka Gongo La Mboto hadi Mwenge wakati unajua kabisa huna uzoefu wa hizi kazi; kumbe unataka kujaribu!!!

Anyway, laptop husika ni HP; made in China! Nimeshindwa kusoma model yake. Hata hivyo, sijafahamu tatizo ni nini hasa, ingawaje nadhani, mosi, OS (Win10) itakuwa ime-corrupt na pili kuna tatizo kwenye power system. Hili la power ndio tatizo la msingi kwangu.

TATIZO LILIVYOTOKEA!

Ilikuwa usiku naangalia movie kwa kutumia laptop! Nilipochoka, nikaifunika tu bila kuzima nikaenda zangu kulala! Asubuhi nilipoiwasha ikafanya kama inawaka kisha ikatoa maandishi ambayo miongoni mwake yalisomeka "missing file... recovery...!" Nika-panic kweli kweli kwa sababu sikutakiwa kuishi bila laptop japo kwa saa moja!Kutokana na panic, faster nikaizima manually!

Baada ya hapo ikawa kila nikiwasha, holaa! Na mara power indicator ikawa haisomi tena! Kwavile sikuwa na suluhisho la haraka, nikalazimika kuiweka pembeni kwanza! Hadi hapa ninapoandika, ina takribani mwaka mmoja ikiwa ghalani.
Siku nyingine ili upate model
Click start kwenye start pale andika
"Run" kisha itakuja serach box kisha andika
"Dxdiag" itakuja DirectX Diagnostic Tool

Click yes
 
Siku nyingine ili upate model
Click start kwenye start pale andika
"Run" kisha itakuja serach box kisha andika
"Dxdiag" itakuja DirectX Diagnostic Tool

Click yes
Thanks Mkuu lakini laptop yenyewe haiwaki kabisa!!
 
Boss ungejaribu kuweka hata picha hapa ili tuione maana umeshindwa kupata model yake maana kutibu computer model number huwa ni njia ya kujua suluhisho pia.
lakini pia kwa haraka haraka hapo tukiangalia ile siku ya kwanza ilipo kuandikia something like.....recovery..and so, so... hapo inawezekana OS ili corrupt na hapo inaweza kuwa pia HDD ili pata shida pia. Lakini pia kuna sehemu sijaweza kukuapata vzuri ulipo sema kuwa baadaye "Power indicator haisomi tena.." hapa sijui sasa ilianza kutokuonesha power haiingii baada ya mda gani? je ni siku chache kutoka siku ilipoleta shida? au ni baada ya kuiweka kwa mda ndo ukaja kuikuta na shida hiyo ya pili? kama ni baada ya mda inawezekana power adapter nayo imesha haribika, au pia battery imeharibika (maana kuna baadhi ya computer ikiharibika battery au ukiichomoa battery, ukiweka adpter (charger) huwa power indicator haiwaki)...
oya mkuu mim natumia laptop aina ya fujitsu model la 1703 jana nimejaribu kuweka window 7 ila cha kushangaza sauti haitoki mpaka leo nimejaribu kuweka drivers zote ila sauti bado haitoki pia nikiweka headphone window haionyeshi headphone ila mwanzo alikuwa sauti inatoka vizur tu kwahy naomba msaada wako yan ni saut tu ila kila kitu kinafanya kazi fresh
 
Back
Top Bottom