Natafuta fundi wa Dish

Natafuta fundi wa Dish

totole

Senior Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
140
Reaction score
25
husika na kichwa cha habari mimi nipo Dar es salaam ninahitaji msaada wa mawazo mimi nina 250k nahitaji dish kubwa ambalo nitaweza kuona local channel pamoja na channel wa nje hususa ni za europe ambazo zitaweza kuonyesha LEAGUE ya UINGEREZA yani dish lenyewe lisi pungue channel 150.. unaweza n PM au 0718928267
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom