Hongera sana kwakushare dili kama hizo na ndugu zako humu,
Nahisi huu ni mfano wa kuigwa tuanze kuonyesha upendo kati yetu sisi mana ninahakika mtaani huko usingekosa fundi wa viwango vyako.
πππππ
Ya urithi ile kama unataka kutupiwa majini na wazaramo ni wew tu ila nina uhakika utaamka mzima ila utaona mambo hayaendi na kuanza kuuza vitu vya ndani kwa nusu bei
Ya urithi ile kama unataka kutupiwa majini na wazaramo ni wew tu ila nina uhakika utaamka mzima ila utaona mambo hayaendi na kuanza kuuza vitu vya ndani kwa nusu bei
Mi mkinga naanzaje kuogopa majini?
Wewe niibie hati hiyo ujilie vitu vya kikinga..!! π€£πΉπΉπΉπββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈ
Mi mkinga naanzaje kuogopa majini?
Wewe niibie hati hiyo ujilie vitu vya kikinga..!! π€£πΉπΉπΉπββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈ