Natafuta friji/jokofu,

Natafuta friji/jokofu,

Ninayo BOSCH,
ni ndefu,
ina milango miwili yaan juu na chini,
chini ni pa kugandishia wakati juu panapoza ile kawaida,
bei tshs. 150,000/=
if, interested here is 0715547184
 
Mods toa hii wanatujazia Jf yetu na mithread isiyo na mashiko, friji zimejaa madukani mbona?

mkuu mbona post yako haiendani na title yako kwel wewe ni jf expert member? au hujui maana ya hili jukwaa la matangazo sasa kwani hajui kama maduka yapo wewe unafahamu kwanini kaja kupost huku? muwe mnaheshimu post za wenzenu
 
Mungu awabariki kwa kadri ya post zenu,kwani kwama kitu nacho taka hauna unawashwa nini kuchangia maoni yasiyo na mantiki?tuwe waungwana tulio sitarabika.
 
mkuu mbona post yako haiendani na title yako kwel wewe ni jf expert member? au hujui maana ya hili jukwaa la matangazo sasa kwani hajui kama maduka yapo wewe unafahamu kwanini kaja kupost huku? muwe mnaheshimu post za wenzenu


umenifurahisha sana!!
yàani mtu anaona kabisa ni sehem ya matangazo alafu analaum!
doesn't make sense kwakweli...
 
Ninayo BOSCH,
ni ndefu,
ina milango miwili yaan juu na chini,
chini ni pa kugandishia wakati juu panapoza ile kawaida,
bei tshs. 150,000/=
if, interested here is 0715547184

Mkuu unapatikana wapi?
 
Back
Top Bottom