Natafuta earpod Orijino za apple

Natafuta earpod Orijino za apple

Jestkilla

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2014
Posts
2,999
Reaction score
3,961
Wandugu naweza pata wapo earpod orijino za apple kwa Dar es salaam.
 
Hizo n Fake but huwezi ona fasta fasta

Mimi nimenunua hapo kwa ajili ya I pod yangu touch. Na original unakuta ina nembo ya apple imendikwa designed apple calfonia. Na maneno mengine sikumbuki vizuri maana kwa sasa nilishazipoteza mda. Fake huwa haziandikwi unakuta ni haina maneno yoyote yale.
 
Mimi nimenunua hapo kwa ajili ya I pod yangu touch. Na original unakuta ina nembo ya apple imendikwa designed apple calfonia. Na maneno mengine sikumbuki vizuri maana kwa sasa nilishazipoteza mda. Fake huwa haziandikwi unakuta ni haina maneno yoyote yale.

haha mkuu hakuna kifaa cha apple ariginal utakachokipata kwa 15000 lazima hicho ni feki
 
Mimi nimenunua hapo kwa ajili ya I pod yangu touch. Na original unakuta ina nembo ya apple imendikwa designed apple calfonia. Na maneno mengine sikumbuki vizuri maana kwa sasa nilishazipoteza mda. Fake huwa haziandikwi unakuta ni haina maneno yoyote yale.

Aisee...
Kama ndo unahisi fake haziwezi kuandikwa hayo maneno basi umeliwa. Kwa ufupi ni kwamba kama hujawahi tumia genuine huwezi tofautisha na hizo fake ila kama ulishawahi basi ukiusikiliza mziki wake tuu unapata jibu.
 
Aisee...
Kama ndo unahisi fake haziwezi kuandikwa hayo maneno basi umeliwa. Kwa ufupi ni kwamba kama hujawahi tumia genuine huwezi tofautisha na hizo fake ila kama ulishawahi basi ukiusikiliza mziki wake tuu unapata jibu.

Kwa mziki zilikuwa zinapiga sana tu tofautisha na za mchina ambazo nilijaribu nikakuta utofauti upo kwenye bass yaaani hata niongeze vipi ni makelele mengi na mchicha hakuna bass. Ila nilivyopata hizi original ahhh like club vile. Kwanza waya wake mgumu ni mpira si rahisi kukata nyaa zake kwa ndani.
 
Nenda kwenye apple stores. M city wanalo duka, Quality Center pia lipo. Huko bei zake zinaanzia Tshs 70,000.

Ukiingia humo there is no question about the genuity of there products. Maana hao ndio Apple Authorized dealers. Sehemu zingine wanauza Fake.
 
haha mkuu hakuna kifaa cha apple ariginal utakachokipata kwa 15000 lazima hicho ni feki

Ni kweli mana apple M city zinauzwa elf 90 mie nlkua nataka kama mtu alkuja nazo kwa box na sim aniuzie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom