Natafuta deal ya pesa nyingi

Natafuta deal ya pesa nyingi

Unatuambia ulipata dhahabu? Ninavyojua dhahabu sio kama Tanzanite au Rubi au kito cha thamani chochote cha kusema umepata au umeokota. Dhahabu haikotwi. Dhahabu inakuwa extracted kutoka kwenye mwamba au mchanga wenye dhahabu. Dhahabu ni metallic element sio compound.
Swali zuri Sana kwa mtaalamu wetu japo hana vyeti
 
Swali zuri Sana kwa mtaalamu wetu japo hana vyeti
Nimeshangaa sana kwa sababu haiwezekani mtu yuko field tu(mazoezi kwa vitendo) ya miezi 2 halafu bin vuu amepata dhahabu kama vile kito cha thamani. Dhahabu inahitaji uwekezaji ili uweze kuchimba na kuextract.
Labda kama alianza kazi zake risk(wizi) siku nyingi. Aseme tu walimuibia mtu dhahabu yake.
 
Kwa kuwa hujaweka maelezo yanayoonyesha kuwa unahitaji ushauri wa kitaalam wa kuanzisha biashara, uzi wako huu yaawezekana hautakupatia majibu yoyote ya maana.

Binafsi baada ya kusoma nikafikiri nitaweza kuambulia ushauri hata kwa kukopi watakaokushauri, lakini nimekata tamaa kabla ya kuendelea kufuatilia.

Nikushauri uweke hapa mawazo yako unayoyafikiria, mtaji na rasilimali ulionazo zitakazokuwezesha kufikia lengo lako, na mbinu au mikakati unayofikiria. Kisha useme unapokwama ndipo uweze kuomba ushauri.

Ni hayo tu.
Rasilimali na mtaji vyote alishatombea hapo alipo kabaki mbupu tu.
Shortcut ya haraka atafute connection na vijana wa magomeni/kinondoni wambebeshe zege tumboni, akifanikiwa kurudi salama tripu 2 tu na yeye ataanza kujiita don.
 
Nimeshangaa sana kwa sababu haiwezekani mtu yuko field tu(mazoezi kwa vitendo) ya miezi 2 halafu bin vuu amepata dhahabu kama vile kito cha thamani. Dhahabu inahitaji uwekezaji ili uweze kuchimba na kuextract.
Labda kama alianza kazi zake risk(wizi) siku nyingi. Aseme tu walimuibia mtu dhahabu yake.
Kweli mkuu hata me naona wachimbaji TU wadogo wanavyoitafuta gram kwa mateso nikiwa site tunaenda mto mmbwemkuru uko nachingweA naona wakichimba mchanga na kuuchuja kwa kuumwagia maji na Mercury wanatumia.kweli dhahabu sio jiwe kusema utalikuta ardhini.
 
Habari za muda huu wana jf.
Mimi ni kijana mtanzania, jinsia yangu ni mwanaume, elimu yangu ni kidato cha sita, umri wangu ni miaka 27.

Nisingependa kuwachosha sana naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika,

Natafuta kazi au deal yeyote halali au haramu kigezo iwe na kipato au ujira mkubwa, hii nadhani inetokana na kuwahi kumiliki pesa nyingi na zikapotea bila kukamilisha mipango na malengo yangu.

Niliwahi kumiliki pesa nyingi kipindi nipo na miaka 21 hadi 24 na pesa hizo nilitafuta mwenyewe sio kwa kurithi, kudhurumu au kuiba.
Najua wengi mtashangaa na mtanishauri nitumie njia ile ile kupata hizo pesa lakini kwa sasa naona itachikua miaka mingi sana au isiwezekane kabisa.

Njia iliyotumika kupata fedha nyingi,

Niliwahi kusoma chuo cha madini hivyo nina uelewa kiasi kuhusiana na madini especially gold, Wakati nipo chuo mwaka wa pili tulipangiwa field, wakati nipo field nikabahatika kupata dhahabu kiasi ambayo niliiuza na kupata fedha nyingi kwangu, ikapelekea chuo sikumaliza ndio maana nasema nina elimu ya kidato cha sita.

Lakini pia njia hii ilikuwa kama bahati kwa upatikanaji wa fedha hizo ndio maana siwezi kuitumia tena kutafuta pesa nyingi.

Mimi binasfi kutokana na uelewa wangu na kutembea kwangu nimegundua, kazi nyingi haramu au deal nyingi haramu zinaingiza pesa nyingi sana. Ukizingatia pia zina risk kubwa pia ni kama third law of motion ya sir Isack Newton (for every action there is equal and opposite reaction)

Lakini kutokana na kutembea kwangu, akili yangu, skills zangu na efforts zangu nimejiandaa kiakili na kisaikolojia kutafuta deal yeyote ya kuingiza pesa nyingi sana kuanzia sasa.

Najua kuna kusalitiana, kuua au kuuliwa, kukamatwa na kupewa adhabu kali au kuhukumiwa kifungo cha maisha, but am ready with all that maana nimeckoka maisha haya.

NB:
Sio mzuri sana kwenye uandishi lakini nadhani nitakuwa nimeeleweka na kama unaswali au ushauri unakaribishwa
(Nawasilisha)
Dili la hivyo zaidi ya kukwiba hamnaga duniani.
 
Angalia kijana usije kuwa Kama yule jamaa na binti waliouwa wazazi wao kisa Mali kule Kilimanjaro na Arusha, hiyo akili na skills ulizo nazo tumia kujikwamua kiuchumi.
Kinachokusumbua ni tamaa ya Mali ,ishi maisha yako ,stay positive,acha wivu na kuiga watu.
Over.
 
Ww mwanaume mpambanaji akigusiwa kitu tu anamaliza mwenyewe kijana Tafuta connection mbona hao Jamaa wanajulikana hapo Dar wapi Sinza wapi Kinondoni Ila uwe serious Tu na unachotaka.

Ukishindwa hiyo Tafuta ndagu ya utajiri Toa kafara MTU kama huna MTU jitoe kafara mwenyewe baada ya MDA Fulani unapotea maishani.

Serious naomba nielekeze mkuu siwajui ningewatafuta
 
Kuna mshikaji wangu, yeye anakodisha vyuma vya moto, na ammunition za kutosha! Vipi nikuunganishe nae?!
Utampora nani sasa watu awakai awasafiri na pesa.
Technology imeua dili za majambazi utavamia utaambulia laki moja ya dharura ndani utaua pesa zipo bank,unajitia nuksi tu kufatiliwa na damu za watu.
 
Watanzania sisi tunalaumu tu na kukosoa badala ya kushauri... Mkuu kwa uelewa wangu ..katika kila jambo kuna cha kujifunza unaweza ukapata dili haramu na ikakupelekea ukajifunza na kuachana na dili hizo haramu .. wasikutishe tishe maana wasiwasi ni ugonjwa mkubwa sana kuliko hayo maukimwi.. fanya maamuzi mkuu

Asante mkuu
 
Nimeshangaa sana kwa sababu haiwezekani mtu yuko field tu(mazoezi kwa vitendo) ya miezi 2 halafu bin vuu amepata dhahabu kama vile kito cha thamani. Dhahabu inahitaji uwekezaji ili uweze kuchimba na kuextract.
Labda kama alianza kazi zake risk(wizi) siku nyingi. Aseme tu walimuibia mtu dhahabu yake.
Hilo ndio jibu mkuu. Aliiba dhahabu. Huwezi kuwa field tu ukasema umepata dhahabu. Mchakato wa dhahabu sio wakitoto.
 
Back
Top Bottom