Hiyo dawa inaitwa 'ALUM' au Aluminium Sulphate, hutumika kuondoa tope kwenye maji. Ulizia mtu yeyote anayefanya na Dawasco (Dar) au Idara ya Maji (mikoani) utapata.
Shabu si ile inayotumiwa kurudishia mambo fulani katika oroginal shape ili kuwapiga watu mchanga wa macho?
umenichekeshaje? haswaaa hutumika zaidi kwa hiyo kitu, hata phamancy kubwa zipo
mdau kidogo waniacha hoii, kupunguza kutokwa na jasho makwapani na kundoa tope kwenye maji kuna uwiano wa kutumia dawa ya ina moja kweli au mimi ndio nachanganya mambo hapa? :eek2: