Natafuta Dada wa Scrub, saloon ya kiume

Natafuta Dada wa Scrub, saloon ya kiume

Mara paaap, utasikia mdada anakuuliza umezidiwa(huku anacheki movie kwenye kioo), mwanaume naye anajibu ndio halafu anaambia ngoja nikusaidie.

Hapo mimi sipo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sikilizia bill yake sasa, ni mzingaaaaaa
Duuuh!!!
Kaizer kuanzia leo nakusokota rasta.
 
Kigezo awe na nyonyo kubwa, wateja huwa wanalaza vichwa kwenye nyonyo...
Umenikumbusha saloon moja niliyoendaga kunyoa uko katoro geita Dada aliyenipaka spirit na makoromboizo mengine ilibidi nimtafute asee

blame no body
 
Back
Top Bottom