Natafuta chuo cha hairdressing Dar es salaam

Natafuta chuo cha hairdressing Dar es salaam

didii

Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
74
Reaction score
5
Habari wana jf.naomba kwa mtu mwenye kufahamu chuo chochote kinachotoa mafunzo ya kutengeneza nywele na mambo yote ya saloon anitaarifu.nimeshaenda veta wakaniambia intake hadi mwezi wa tisa,mimi nahitaji kwa sasa hivi coz nna mpango wa kufungua saloon.
 
Vumilia tu mpaka mwez huo, haraka haraka haina .., vyuo vingine utapel mtupu.
 
Vumilia tu mpaka mwez huo, haraka haraka haina .., vyuo vingine utapel mtupu.

ni kweli nashukuru kwa ushauri ila kama kuna anayefahamu chuo kingine cha kuaminika anifahamishe plz
 
kuna kingine pure academy of beauty karibu na amref fika pale watakupa details
 
Mi nakushauri fungua salon alaf chukua mtu ambae anaweza izo shughuli za salon kwa ufasaha yeye uyo ndo atakuwa mwalimu wako ukiwa na bidii utajua mapema kuliko uko kwenye vyuo maana nimeona watu kadhaa wamesomea lkn wakija salon hawawezi kwani mafunzo yao hayana uhalisia!
 
Mi nakushauri fungua salon alaf chukua mtu ambae anaweza izo shughuli za salon kwa ufasaha yeye uyo ndo atakuwa mwalimu wako ukiwa na bidii utajua mapema kuliko uko kwenye vyuo maana nimeona watu kadhaa wamesomea lkn wakija salon hawawezi kwani mafunzo yao hayana uhalisia!

brown ad nashukuru kwa kunipa wazo zuri,nitalifanyia kazi for sure
 
Kuna chuo kilikuwa pale makumbusho kitambo kiasi, upande wa chaga bite. Nadhani kati ya break point na chaga bite hapo in-between.
Kila la kheri.
 
Kuna chuo kilikuwa pale makumbusho kitambo kiasi, upande wa chaga bite. Nadhani kati ya break point na chaga bite hapo in-between.
Kila la kheri.
mm nakushauli acha harka maana kesho ujui ktatkea nini ww kuwa mvmlvu my
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom