Natafuta Chumba bei nafuu - Msasani.

Natafuta Chumba bei nafuu - Msasani.

The Giant

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2012
Posts
504
Reaction score
96
Wakuu nimepata Kazi Masaki mwisho, sometime ntakuwa natoka very late. Kwa sasa, nipo Mbagala.

Mwez wa kumi natarajia kuhama huku. Nikipata cha 30-50 sio mbaya. Ila ni lazima kiwe na umeme na maji.

Maeneo nayohitaji Namanga, around Kimweri road na maeneo mengine ya jirani.
 
Nenda maandazi road ama mitaa ya nyuma ya General tyre utapata kwa hiyo budget.
 
Back
Top Bottom