Shukrani dear ntapitia dukani kwakeBinadamu ndivyo tulivyo, huyu anauza 11500 check nae anaweza kukupunguzia
View attachment 1962287
Mkuu sista ukiipata hii connection naomba unijulishe tafadhali, nataka nimfungulie wifi yako hii biashara...akipata kwa buku 10 yeye akiuza kwa 13 tu hajakosa!Kuna chimbo jumla 10k na mtandio ila ndiyo hivyo kuna mtu hataki kunipa connection yani
Ndiyo niko napambana usijali ntakujulisha btw:Mungu akubariki kwa hilo wazo zuri na kwa kuonyesha unamjali wifi yetu kiasi hicho, dunia ingekua salama sana kama wanaume wote mngekua na upendo huuMkuu sista ukiipata hii connection naomba unijulishe tafadhali, nataka nimfungulie wifi yako hii biashara...akipata kwa buku 10 yeye akiuza kwa 13 tu hajakosa!
amin, lazima tuwawezeshe ili muchangie ktk ujenzi wa familia na taifa kwa ujumla...Mungu akufanyie wepec ktk mihangaiko yako mkuu!Ndiyo niko napambana usijali ntakujulisha btw:Mungu akubariki kwa hilo wazo zuri na kwa kuonyesha unamjali wifi yetu kiasi hicho, dunia ingekua salama sana kama wanaume wote mngekua na upendo huu
..usiniangushe,Nchi Ngumu Sana Hii Kiongozi
Kumekucha Sasa Hivi, Bwana Bure Hayupo
Mupe.....Muruke........usiniangushe,
Sijui kutofautisha ila wale chinga wanaopiga debe ni 10k.Vya Mombasa mkuu?
Hapa sasa ndo patam.Niko Dar nimekupm mkuu
Kwa hiyo sipati ubuyu?my dear mimi sio new member humu, shaka ondoa