mkuu upo wapi nina mbilidah mshahara wote unanunulia Ipod (Nakutania mkuu) unaonaje nikakuuzia Nokia N97 kwa 250 ambayo ina 32GB Mass memory na humo utaweka nyimbo utapata hiyo touch unayoitaka uta surf internet na zaidi ya yote utaitumia pia kama simu kwa ajili ya mawasiliano.