Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,702
Nenda kariakoo kwenye round about ya uhuru,mkono wako wa kulia kama unaelekea kituo cha daladala cha kongo,kuna vijana wanauza vifaa vya music kwenye korido,wanazo hata mi wiki jana nimepata hapo,baada ya kuzunguka sana,na bei zao c mbaya sana,mi nilipata kwa elfu 45,ya toshiba.
Nilitafuta sana charger ya hp DSM sikupata, nikafanikiwa kupata Arusha 'Benson'; wajaribu hao;