Natafuta CHAIN SAW mashine

Natafuta CHAIN SAW mashine

Muhubiri

Senior Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
140
Reaction score
120
Wana jf, ninatafuta chainsawa machine, iwe ya kukodi au kununua ambayo inatumika, ninaihitaji kwa ajili ya kukatia miti shambani, mwenye nayo au ambayo anajua nitaipataje tuwasiliane, naomba ani pm.
Natanguliza shukurani
 
Ngoja nutafute pc ni ku pm. Natumia simu haina option ya ku pm
 
Wana jf, ninatafuta chainsawa machine, iwe ya kukodi au kununua ambayo inatumika, ninaihitaji kwa ajili ya kukatia miti shambani, mwenye nayo au ambayo anajua nitaipataje tuwasiliane, naomba ani pm.
Natanguliza shukurani

Mkuu, unpotaja chainsaw naona kama unatangaza kihama cha miti maeneo husika. Maana haka kadude kakiingia mtaani hakaachi mti.
 
Kama una shamba kubwa na utaendelea kuihitaji ni nzuri ukinunua mpya maana mara nyingi ni vigumu kujua kwa nini mtu anauza anayonayo.

Chainsaw zitumikazo zaidi TZ ni Husqvarna ns Stihl na zinapatikana DSM.
 
Kama una shamba kubwa na utaendelea kuihitaji ni nzuri ukinunua mpya maana mara nyingi ni vigumu kujua kwa nini mtu anauza anayonayo.Chainsaw zitumikazo zaidi TZ ni Husqvarna ns Stihl na zinapatikana DSM.

Siku hizi watendaji vijijini wanasumbua ukiingiza hii kitu hata kama shambani mwako. Ni vizuri kuulizia taratibu. STIHL ni nzuri sana na zinapatikana pale India Street Kitumbini.




Stihl-Chain-Saw-MS-070-.jpg
 
Wana jf, ninatafuta chainsawa machine, iwe ya kukodi au kununua ambayo inatumika, ninaihitaji kwa ajili ya kukatia miti shambani, mwenye nayo au ambayo anajua nitaipataje tuwasiliane, naomba ani pm.
Natanguliza shukurani



vip mhubiri chaisaw ulipata ni bei gani? ninahitaji
 
vip mhubiri chaisaw ulipata ni bei gani? ninahitaji

Pale Mafinga, december 2013 nimenunua mpya kwa Tsh 1.45m, naamini kwa Dar inaweza kucheza kt ya Tsh 1.35m mpaka 1.4m.

Wewe jiandae kwa range hiyo.
 
Wana jf, ninatafuta chainsawa machine, iwe ya kukodi au kununua ambayo inatumika, ninaihitaji kwa ajili ya kukatia miti shambani, mwenye nayo au ambayo anajua nitaipataje tuwasiliane, naomba ani pm. Natanguliza shukurani
mkuu, ninayo used imetumika tangu oct 2013, naweza kukukodishia au kukuuzia ukihitaji. contact 0686822006
 
Wana jf, ninatafuta chainsawa machine, iwe ya kukodi au kununua ambayo inatumika, ninaihitaji kwa ajili ya kukatia miti shambani, mwenye nayo au ambayo anajua nitaipataje tuwasiliane, naomba ani pm.
Natanguliza shukurani
habari ndugu? Nauza yangu aina ya husqavarna 272 ni mpya nimetumia mwezi mmoja tu naiuza bei utakayoiweza..tuwasiliane hapa kwa kuni pm au highquality169@gmail.com
 
Back
Top Bottom