Ndugu yangu natafuta camera nzuri Used yenye uwezo wa still picture Kali niingie nayo vijiweni tayari nina mashine ya picture nzuri EPSON L850 Naomba Pia ushauri wa Camera hizo nitashukuru Sana Bei yangu Nina Laki 2.
Ndugu yangu natafuta camera nzuri Used yenye uwezo wa still picture Kali niingie nayo vijiweni tayari nina mashine ya picture nzuri EPSON L850 Naomba Pia ushauri wa Camera hizo nitashukuru Sana Bei yangu Nina Laki 2.
Mkuu inatakiwa niwe na dau la kuanzia Tsh ngapi? ujue kumebadikika Sana mtaani ukizingatia wateja wengi wanahitaji kuona Camera kubwa ndo wanaamini upo Makini na Kazi.
Mkuu inatakiwa niwe na dau la kuanzia Tsh ngapi? ujue kumebadikika Sana mtaani ukizingatia wateja wengi wanahitaji kuona Camera kubwa ndo wanaamini upo Makini na Kazi.