Kwa jinsia mi ni dada wa miaka 27 ,natafuta boyfriend. Atakaye nipenda kwa dhati hatimaye tuje kuwa mke na mume,awe ameajiriwa,asiwe na mtoto wala aliyewahi kuoa,awe na hofu na mungu,mkarimu,mrefu,asiwe mweusi sana na la muhimu awe mkristo,
Atakaye meet vigezo ani pm.asante.
Kama unavyoniona hapo kwenye picha, umri wangu ni miaka 35 na kazi yangu ni mieleka. Je utanifikiria? Usiogope kifua changu kipana, "viungo nyeti" vyote vina saizi ya kawaida.Kwa jinsia mi ni dada wa miaka 27 ,natafuta boyfriend. Atakaye nipenda kwa dhati hatimaye tuje kuwa mke na mume,awe ameajiriwa,asiwe na mtoto wala aliyewahi kuoa,awe na hofu na mungu,mkarimu,mrefu,asiwe mweusi sana na la muhimu awe mkristo,
Atakaye meet vigezo ani pm.asante.
hofu ya mungu ninayo,,,,ila si mkristu,,,,,,,ntabadili tukiwa kwenye uhusiano
MPEGAV aka Tutorial mandigo una 16 utamuua kizazi mtoto wa watu.
kama hujafikia kigezo usimbeze mtu,kila mtu anamalengo yake,huwezi kujua alijiwekea nadhiri gani, acha kuishi kwa mazoea
si unajua kule kwenye dini wanaruhusiwa kuchumbia mtoto wa miaka sita na kuoa akiwa na miaka tisa.kama hujafikia kigezo usimbeze mtu,kila mtu anamalengo yake,huwezi kujua alijiwekea nadhiri gani, acha kuishi kwa mazoea
Hebu mpashe huyo mdada mkuu wangu, eti anataka mahandsome tu, nani wa kuuziwa mbuzi kwenye gunia siku hizi??????????????/usije kuta wewe mwenyewe kabaaaya af unataka ma handsome,maji ya kunde....nyoooooo...weka na weee ulivyo....
Kwa jinsia mi ni dada wa miaka 27 ,natafuta boyfriend........