Kama shida yako ni kuwa na binti wa kubadilisha mawazo, mwambie mkeo akuzalie mtoto wa kike.nahitaji kuwa na binti wa kuwabadilishana mawazo
nahitaji kuwa na binti wa kuwabadilishana mawazo
Hapa ndo mahali pake. Kuna akina Lizzy, Afrodenzi, King'asti (ila huyu ana binduki so be careful with her). Pia kuna Preta, Katerelo, Gaijin na wengine wengi. Hawa wote ni masista duu.
Ukitaka wamama wamama kuna akina Nyumba Kubwa, Firstlady1, WomanOfSubstance, BiMkubwa, na MwanajamiiOne.
Ushindwe wewe tu sasa.
KeiEi nitake radhi ....mimi sio sista du!!!
Niwie radhi Lizzy. Wewe ni wa ukwee'ee.
Hapo ndo nnapokupendea...
So nibadilishane mawazo yangu na mshkaji au nimpotezee?!
Waachie akina ADII, Rose1980, na AfroD. Wewe endelea na mengine bila kumasahau Zawadi. Nina hamu sana ya kusoma mwisho wake.
By the way, Ally wa Kitaa yuko maabara anatengeneza mixtape. Kaniambia anataka u-spit kama bars mbili au tatu hivi kwenye ngoma yake moja hivi kali sana. Unaonaje? Unaweza ukasababisha?
Waachie akina ADII, Rose1980, na AfroD. Wewe endelea na mengine bila kumasahau Zawadi. Nina hamu sana ya kusoma mwisho wake.
By the way, Ally wa Kitaa yuko maabara anatengeneza mixtape. Kaniambia anataka u-spit kama bars mbili au tatu hivi kwenye ngoma yake moja hivi kali sana. Unaonaje? Unaweza ukasababisha?
<br />nahitaji kuwa na binti wa kuwabadilishana mawazo
nahitaji kuwa na binti wa kuwabadilishana mawazo