Natafuta Batterry ya Samsung GT - I9070 Advance

Natafuta Batterry ya Samsung GT - I9070 Advance

jaxonwaziri

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2010
Posts
375
Reaction score
195
Wakuu, hii simu nililinunua mwaka jana but inakula moto si mchezo, haizidi kukaa na chaji zaidi ya siku moja. Natafuta battery ili nibadilishe ikae na moto japo siku tatu kwa matumizi ya kawaida. Kuna watu waliniambia hizi smart phones hazikai na chaji kisa systems zake ni kubwa sana. Enlighten me please kwa walio na ufahamu zaidi, isijekua natafuta battery ila tatizo litabaki pale pale
 
Wakuu, hii simu nililinunua mwaka jana but inakula moto si mchezo, haizidi kukaa na chaji zaidi ya siku moja. Natafuta battery ili nibadilishe ikae na moto japo siku tatu kwa matumizi ya kawaida. Kuna watu waliniambia hizi smart phones hazikai na chaji kisa systems zake ni kubwa sana. Enlighten me please kwa walio na ufahamu zaidi, isijekua natafuta battery ila tatizo litabaki pale pale

Ni kawaida mkuu, especially kwa smartphone za android. Kama ni mtumiaji sana wa internet its normal charge kutolast more than a day, simu nyingine hazimalizi hata siku.
 
Ni kawaida mkuu, especially kwa smartphone za android. Kama ni mtumiaji sana wa internet its normal charge kutolast more than a day, simu nyingine hazimalizi hata siku.
Nashukuru kwa kunifungua macho mkuu,internet ndio sababu ya mimi kuinunua mkuu. Ngoja nizoee, nilikua nimezoea nokia yangu ya tochi chaji siku nne hadi tano, hapa nikaona nimeingizwa mjini, nilitaka niwafuate wale dealers wa Samsung walioniuzia nikapachimbe japo kidogo lakini sasa nimeahirisha
 
Nashukuru kwa kunifungua macho mkuu,internet ndio sababu ya mimi kuinunua mkuu. Ngoja nizoee, nilikua nimezoea nokia yangu ya tochi chaji siku nne hadi tano, hapa nikaona nimeingizwa mjini, nilitaka niwafuate wale dealers wa Samsung walioniuzia nikapachimbe japo kidogo lakini sasa nimeahirisha

kuna apps zinazo saidia kidogo kuzuia matumiz ya betri, jaribu kusearch kwenye play store au google kwa maelezo zaidi, niko kwa mobile ningekuwekea link..
 
Ukikosa battery maduka ya bongo zama ebay.com na search hiyo battery. Lakini kama hujaactivate battery yako kufanya online transaction utachemka. Na ni vizuri ukatumia paypal.
Battery kuisha hivyo kwa smartphone ni kawaida ila zinazidiana uwezo. Kabla hujanunua simu penda kutembelea reviews za techradar.com na gsmarena.com
 
Ukikosa battery maduka ya bongo zama ebay.com na search hiyo battery. Lakini kama hujaactivate battery yako kufanya online transaction utachemka. Na ni vizuri ukatumia paypal.
Battery kuisha hivyo kwa smartphone ni kawaida ila zinazidiana uwezo. Kabla hujanunua simu penda kutembelea reviews za techradar.com na gsmarena.com

Nimekusoma mkuu, nilipotezana na teknolojia kidogo but sasa naanza kuona madhara yake. Ngoja nianze kusoma soma haya mambo. Nikizubaa ndio inakuja kuwa yale mambo ya kununua simu unamuomba mtoto akufunze namna ya kusoma msg
 
Back
Top Bottom