Wadau mimi ni kijana nimemaliza degree mwaka huu, ajira nimekosa lakini nina idea yangu niliiweka kwenye business plan na inahitaji mtaji wa 1.5Billion na ROI ni 30%.
Nisaidien wakuu niweze kupata Rich Investor wa kunifadhili au nianzie wapi..!!
Thanks
Wadau mimi ni kijana nimemaliza degree mwaka huu, ajira nimekosa lakini nina idea yangu niliiweka kwenye business plan na inahitaji mtaji wa 1.5Billion na ROI ni 30%.
Nisaidien wakuu niweze kupata Rich Investor wa kunifadhili au nianzie wapi..!!
Thanks
Sorry,if 1.5Billion is what you need,have you projected what is the "pay back period"?Wadau mimi ni kijana nimemaliza degree mwaka huu, ajira nimekosa lakini nina idea yangu niliiweka kwenye business plan na inahitaji mtaji wa 1.5Billion na ROI ni 30%.
Nisaidien wakuu niweze kupata Rich Investor wa kunifadhili au nianzie wapi..!!
Thanks
Mkuu unaweza shauri namna ya kuwapata hao investers kwa mtu mwenye project sahihi?Mmmmh,mdogo wangu...wote tuna shida na wote tuna idea mbalimbali lakini hii ya kwako haijakaa sawa kusema ukweli,jinsi ulivyoweka hicho kiwango cha pesa tu sidhani kama hata huyo angel investor atashawishika kukusaidia,na jaribu pia kufanya research kuweza kujua hicho unachotaka kukifanya kitalipa kiihivyo kama unavyohitaji huo mtaji?lakini pia engel investors wapo wengi sana tu na wapo tayari kusaidia watu wenye mawazo mazuri but ni bora kuanzia kidogo kidogo sio kiasi kikubwa namna hiyo unless otherwise huyo mtu awe partner tena mwenye hisa nyingi kuliko wewe mwenye idea,though unaweza kujipanga vizuri ni kuweka ideas zako vizuri kiasi kwamba watu hawatazitilia shaka kuliko kuja na kiwango ulichokitaja...wish u best of luck!