mandingo6262
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 424
- 82
Hizi ndo zile ndoa ambazo michepuko haiwezi ikakaa kuisha aisee, yaani mtu anaamka tu na kukurupuka eti anatafuta muoaji duhhh!
kwani kuna muda muafaka wa kutafuta? hajakurupuka ameona muda unaenda jamani, kaamua bora atafute mwenyewe kuliko kusubiri kutafutwaHizi ndo zile ndoa ambazo michepuko haiwezi ikakaa kuisha aisee, yaani mtu anaamka tu na kukurupuka eti anatafuta muoaji duhhh!
Hizi ndo zile ndoa ambazo michepuko haiwezi ikakaa kuisha aisee, yaani mtu anaamka tu na kukurupuka eti anatafuta muoaji duhhh!
Una uhakika amekurupuka au ulikuwa naye wakati anaandika uzi huu?Hizi ndo zile ndoa ambazo michepuko haiwezi ikakaa kuisha aisee, yaani mtu anaamka tu na kukurupuka eti anatafuta muoaji duhhh!
kwani kuna muda muafaka wa kutafuta? hajakurupuka ameona muda unaenda jamani, kaamua bora atafute mwenyewe kuliko kusubiri kutafutwa
Natafuta muoaji nipo serious