Natafta muoaji wa ukweli

Natafta muoaji wa ukweli

are you male or female? if female, ni pm CV yako.
 
Aliye interested anipm sifa zake bas

tangazo umeliweka hadharani weka na sifa zako basi ili kila mtu ajipime na kuchagua. huko pm utawapa wangapi sifa zako?
 
Natafuta muoaji npo serious

Utafiti wangu crude nilioufanya siku za hivi karibuni pia umenionyesha kuwa mbali na factors nyingi sana zilizopo zinazochzngia wasichana wengi wa siku za leo wasiolewe, lakini pia kuna makundi ya watu waliooa/walioolewa ambao wanafanya jitihada za makusudi za kuwawekea kauzibe baadhi ya wasichana ili wasiolewe. Sababu ni wivu? bado sijajau vizuri. Hii kitu ipo sana, believe me!Kila la kheri mama yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom