Siwuya
Member
- Feb 9, 2021
- 13
- 13
Mimi ni kijana wa miaka 28 Graduate wa Mzumbe Level ya Degree katika Chuo Kikuu Mzumbe Coures: Information Communication Technology with Business ( ICT-B).
Nimefanya kazi hii ya Graphics Designing kama Freelancer kwa zaidi ya Miaka Minne(5) kwenye Maeneo tofauti kama Vile Iringa, Mbeya, Morogoro na Dodoma, Kama kuna MTU yupo tayari kuwekeza / au tayari yupo kwenye biashara naomba nafasi ya kufanya nae kazi.
Skills/ Ujuzi:-
Adobe Photoshop / Illustrator / Premier / After After Effect
-Aina ya kazi nimefanya kwenye Eneo hili ni
1) Mabango ya Kuprint -Aina zote ( Promotion Material)
2) Sticker za Magari, Pikipiki na Bajaji
3) 3D/2D Signage
4) T-shirt Printing
Mawasiliano: Calls/SMS 0743000284
Ahsante naomba kuwasilisha
Nimefanya kazi hii ya Graphics Designing kama Freelancer kwa zaidi ya Miaka Minne(5) kwenye Maeneo tofauti kama Vile Iringa, Mbeya, Morogoro na Dodoma, Kama kuna MTU yupo tayari kuwekeza / au tayari yupo kwenye biashara naomba nafasi ya kufanya nae kazi.
Skills/ Ujuzi:-
Adobe Photoshop / Illustrator / Premier / After After Effect
-Aina ya kazi nimefanya kwenye Eneo hili ni
1) Mabango ya Kuprint -Aina zote ( Promotion Material)
2) Sticker za Magari, Pikipiki na Bajaji
3) 3D/2D Signage
4) T-shirt Printing
Mawasiliano: Calls/SMS 0743000284
Ahsante naomba kuwasilisha