Natafakari sana juu ya hiki

Ritchy Breezy

JF-Expert Member
Dec 9, 2020
409
589
Wakuu habari za wakati huu.

Niwe wazi tu tangu nimemaliza chuo, maisha kwangu yamekuwa magumu, michongo niliyopata ilihitaji niwe na cheti bahati mbaya nina vimeo so hadi niviclear.

Nilivyomaliza home niliwajulisha kuwa nimemaliza na hakuna wa kuni-dis maana wengi wameishia form 4 waliosoma zaidi ni ndugu wa mbali kiasi hawawezi kuniuliza chochote bila kuwaambia.

Kuna muda nilikuwa napambana sana hakuna kazi nlibagua, ila kuna kipindi nikawa sina mchongo.

Katika harakati za kuomba mchongo nikapata mbili moja ni kumsaidia msela angu stationery nyingne ndo hii imenifanya niandike hii thread.
 
Tuendelee..
jamaa wa pili alionyesha nia ya dhati kunisaidia kutokana na changamoto nilizomweleza,hivyo siku mbili baadae alniita..
tuliongea na kuelewana kwamba atanlipa kulingana na jinsi ntauza,hvyo nlitakiwa kuifanyia marketing product alokua anaitengeneza,japo mwanzo nlisita ila nkajipa moyo nisikate tamaa..nlianza kazi.
ndani ya wiki moja product ilikuwa inahitajika kuliko kawaida hivyo kupelekea jamaa kutafuta watu wengine wawili jumla watatu kufeed consumers..
mwezi ukakata akanipa changu,biashara ikaendelea siku 5 baadae jamaa akaniomba tuzungumze...
jamaa,akanambia saiv gharama za raw material zimepanda,bado kaongeza wafanyakazi hivyo anaomba tulipane kwa mwezi..
nkamjibu siyo mbaya ila tukianza kulipana kwa mwezi utaona ka nategea,ila uknilipa kutokana na kile napeleka sokoni ndo nzuri coz hata nispopiga hasara kwangu si kwako bahati nzuri product inaweza kukaa hata mwezi bila kuharibika.

tunaendelea
 
Tuendlee
kufpisha maneno,nkaamua kumuuliza kiasi ambach ameplan kunilpa..
asee alitamka atanilipa 80k per month dah,muda nakataa offer yake nilitamka hapana nkitikisa kichwa kbs...80k ni hela ambay nilikuw naweza kuiingza ndan ya wiki moja ..means kwa siku nilikuwa na uwezo wa kuingiza 8000-12000 kutoka kuingiza 2000-3000 nilipoanza hiyo biashar.
kiukwel nilijiona mbali sana kama ningefnya miez miwil coz 12000+3000/5000 stationery,lunch hapohapo stationery.
tuliterminate mkataba kwa amani baada ya kushindwa kuafikiana malipo mapya.
nilichukua changu ila nikawaza bado nina mengi ya kufanya ikiwemo kulipa pango,na kuclear vimeo chuoni,hivyo nikawaza kufanya hii business,changamoto ikawa ni kuandaa product sabu hatujaachana kwa ubaya nikaomba nielekezwe ili niweze kuandaa nzungushe sabu tayar nina wateja.
japo naona mhusika kama hataki ila naforce kiaina anielekeze kesho nimepanga kwenda kuangalia wanavyoandaa mwanzo mwisho..
changamoto nawaza kama ntakua sawa au si sawa.
naombeni mawazo yenu wakuu.
 
hata jambo dogo humaliziii, si chuo si wapi..pole mkuu pole sana
Mungu akufanyie wepesi
 
Hata weza kukusaidia
vipi ikitokea akanisaidia?..asubuh kanipa maelekezo kwa juu juu,nilichofanya nmenunua kiasi kidogo cha malighaf htajika nkatengeneza kadri alivyonielekeza nimekosea kidogo sana..kesho nataka nkaangalie kabsa by any means i should commence with this kind of business sabu haihtaj mtaji mkubwa,mambo ikiwa nzuri ntaachana nayo no matter atanchukuliaje.
 
Kama ni dili halali weka tu wazi unataka usaidiwe nini mkuu, humu kuna watu pia wanaweza kukusaidia...kama utataka iwe siri zaidi jaribu kupekua pekua huko Google na Youtube...naamini utapata msaada zaidi .
 
Shida unataka kunyanyuka kupitia mgongo wake
ningeacha kazi then nfungue the same business mi naona ndo ingekua mbaya..
ila kitendo cha kubadili terms ndo kumenifanya nishindwe kuendelea nae..ila kiuhalisia ishu inaenda na inahtaj mtaji mdogo tu 50k..unapga biashara bila shda kabs
 
ningeacha kazi then nfungue the same business mi naona ndo ingekua mbaya..
ila kitendo cha kubadili terms ndo kumenifanya nishindwe kuendelea nae..ila kiuhalisia ishu inaenda na inahtaj mtaji mdogo tu 50k..unapga biashara bila shda kabs
duuuh ok pambana.
 
Back
Top Bottom