Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,330
- 24,213
Hili suala la Bandari na DP World bado ni bichi na linavuja damu.
Natabiri tu, baada ya muhula wa mama, Prof. Makame Mbarawa anaweza shitakiwa kwa uhujumu uchumi. Prof Mbarawa hana kinga.
Natabiri tu.
Natabiri tu, baada ya muhula wa mama, Prof. Makame Mbarawa anaweza shitakiwa kwa uhujumu uchumi. Prof Mbarawa hana kinga.
Natabiri tu.