Lowassa mmempa nini.Na akirudi tutampa kazi nzuri tu kama utaratibu wetu ulivyo kwa wanaorejea.
Nani Mgombea Ubunge wa Monduli?.Lowassa mmempa nini.
Lowassa anagombea ubunge?Nani Mgombea Ubunge wa Monduli?.
Ben mnamsimanga bure tu kwa hisia zenu,yawezekana kabisa kuwa Membe yupo na amebariki yote yanayoendelea.Mtaficha wapi sura zenu siku akiwprove wrong?Machi 1995 mwaka wa uchaguzi, Augustine Mrema aliondoka CCM akasema atagombea urais upinzani.
Julai 2015 miezi michache kabla ya uchaguzi Lowassa Waziri Mkuu Mstaafu aliondoka CCM akatangaza atagombea urais upande wa upinzani.
Julai 2020 mwaka wa uchaguzi, Membe Waziri Mambo ya Nje Mstaafu kaondoka CCM, kasema atajiunga upinzani na atagombea urais. Mwaka 2025 (nani?) ataondoka CCM ataomba kugombea upinzani, naye atarudi CCM?
Agosti 2015, Frederick Sumaye, Waziri Mkuu Mstaafu, alijiondoa CCM baadae akaomba kugombea Uenyekiti wa CHADEMA akakosa akarudi CCM.
Tofauti na hao kuna ambao walijiondoa CCM lkn wakabaki na misimamo yao, Kambona (RIP), Kingunge (RIP), Babu (RIP), Mtei, Maalimu Seifu nk.
Membe, hata kama italazimika upinzani kumpokea, ni sawa, lkn wawe makini sana wanapofanya naye siasa, kumbuka Membe ni jasusi mbobevu kama alivyo Mrema huwa hawasitaafu, akikosa anachokitafuta atarudi CCM kama kina Mrema, Lowassa, Sumaye na wengine wengi waliokuwa watumishi wa serikali.
Huu ni utabiri wangu tu, zingatia staili aliyoondoka nayo ya kuishukuru CCM ni kama anaweka mazingira mazuri pindi atakapoomba kurudi.
Wakati ni mwalimu mzuri sana.
Quinine.
===========≠
View attachment 1501866
Fanya research.Lowassa anagombea ubunge?
kwa sasa hivi adui yetu ni mmoja jiwe tuu,the enemy of my enemy is a friend1. Mtu hachelewi kwake.
2. Nyumbani ni nyumbani
3. Maji hayasahu ubaridi
4. Mtaraka hatongozwi
Kati ya hizo ipi inakaa poa?
Lowassa alishafika point ya mwisho kwenye kupanda yeye anastahili tu heshimaLowassa mmempa nini.
Kwa Maalimu Seif sahau yeye ni mpinzani damu tangu enzi za Nyerere.Na mie natabiri kuna siku Maalim Seif (nae alifukuzwa) atarudi CCM
Inawezekana siku hiyo ikawa leoMachi 1995 mwaka wa uchaguzi, Augustine Mrema aliondoka CCM akasema atagombea urais upinzani.
Julai 2015 miezi michache kabla ya uchaguzi Lowassa Waziri Mkuu Mstaafu aliondoka CCM akatangaza atagombea urais upande wa upinzani.
Julai 2020 mwaka wa uchaguzi, Membe Waziri Mambo ya Nje Mstaafu kaondoka CCM, kasema atajiunga upinzani na atagombea urais. Mwaka 2025 (nani?) ataondoka CCM ataomba kugombea upinzani, naye atarudi CCM?
Agosti 2015, Frederick Sumaye, Waziri Mkuu Mstaafu, alijiondoa CCM baadae akaomba kugombea Uenyekiti wa CHADEMA akakosa akarudi CCM.
Tofauti na hao kuna ambao walijiondoa CCM lkn wakabaki na misimamo yao, Kambona (RIP), Kingunge (RIP), Babu (RIP), Mtei, Maalimu Seifu nk.
Membe, hata kama italazimika upinzani kumpokea, ni sawa, lkn wawe makini sana wanapofanya naye siasa, kumbuka Membe ni jasusi mbobevu kama alivyo Mrema huwa hawasitaafu, akikosa anachokitafuta atarudi CCM kama kina Mrema, Lowassa, Sumaye na wengine wengi waliokuwa watumishi wa serikali.
Huu ni utabiri wangu tu, zingatia staili aliyoondoka nayo ya kuishukuru CCM ni kama anaweka mazingira mazuri pindi atakapoomba kurudi.
Wakati ni mwalimu mzuri sana.
Quinine.
===========≠
View attachment 1501866
Hahahaha membe anafaa kumbe kuimba na taarabu kweli uyu jamaa ni special trained agent mwenye documentary ya membe naomba ikiwemo na misheni zake alizo zifanyagaMachi 1995 mwaka wa uchaguzi, Augustine Mrema aliondoka CCM akasema atagombea urais upinzani.
Julai 2015 miezi michache kabla ya uchaguzi Lowassa Waziri Mkuu Mstaafu aliondoka CCM akatangaza atagombea urais upande wa upinzani.
Julai 2020 mwaka wa uchaguzi, Membe Waziri Mambo ya Nje Mstaafu kaondoka CCM, kasema atajiunga upinzani na atagombea urais. Mwaka 2025 (nani?) ataondoka CCM ataomba kugombea upinzani, naye atarudi CCM?
Agosti 2015, Frederick Sumaye, Waziri Mkuu Mstaafu, alijiondoa CCM baadae akaomba kugombea Uenyekiti wa CHADEMA akakosa akarudi CCM.
Tofauti na hao kuna ambao walijiondoa CCM lkn wakabaki na misimamo yao, Kambona (RIP), Kingunge (RIP), Babu (RIP), Mtei, Maalimu Seifu nk.
Membe, hata kama italazimika upinzani kumpokea, ni sawa, lkn wawe makini sana wanapofanya naye siasa, kumbuka Membe ni jasusi mbobevu kama alivyo Mrema huwa hawasitaafu, akikosa anachokitafuta atarudi CCM kama kina Mrema, Lowassa, Sumaye na wengine wengi waliokuwa watumishi wa serikali.
Huu ni utabiri wangu tu, zingatia staili aliyoondoka nayo ya kuishukuru CCM ni kama anaweka mazingira mazuri pindi atakapoomba kurudi.
Wakati ni mwalimu mzuri sana.
Quinine.
===========≠
View attachment 1501866