Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,014
- 103,405
Kwani usalama wa taifa au usalama wa CCM kwahiyo akirudi CCM ndo amerudi usalama wa taifa mbona tuna mawazo mafupi sana kuona taifa ni sawa na CCM we unajua watu wangapi wanafanya kazi usalama wa taifa na wapo wapi? tuache hizi fikra kuwa usalama wa taifa ni CCM, Polisi CCM, jeshi ni CCM hivyo ni vyombo vya taifa sio vya CCM kuna viongozi wa hivyo vyombo wanakosa ueledi ndo maana unaona kama ni vyombo vya CCM ila sisi kama raia hatupaswi kutengeneza hii kasumba ya kuwamilikisha CCM inchi yetu na vyombo vyake, Membe apingwe kwa mengine sio eti kwasababu alikuwa afisa mwandamizi usalama wa taifa kazi aliyofanya kama raia mwengine yoyote kwani Marando karudi CCM.
Hakuna tofauti ya ccm na vyombo vya dola.