Hamna jamaa..huyo ni doctor maarufu ata ukishukia nzuguni mwisho stand ya nanenane bodaboda wanamjuaafisa kipenyo ndio wanatumia mbinu hii....sendi
Hamna jamaa..huyo ni doctor maarufu ata ukishukia nzuguni mwisho stand ya nanenane bodaboda wanamjuaafisa kipenyo ndio wanatumia mbinu hii....sendi
Asante mtaalaamu kwa kuongezeaHuku mitaani mnatumia dawa bila kufanya vipimo kuhakiki kama kweli ni vidonda vya tumbo..kipimo pekee cha kuhakiki vidonda vya tumbo ni Endoscopy..ambapo mtaalamu atapitisha tube nyembamba mdomoni ikiwa na camera kwa mbele mpaka ifike kwenye utumbo mdogo..hiki kipimo ni ghali kidogo,kama huna bima andaa laki 3.
Lengo ni kuhakiki kama kweli client ana vidonda vya tumbo,na kama vipo vipo kwa uwingi gani na vina ukubwa gani.Acheni kutumia dawa za vidonda vya tumbo bila kufanya vipimo. Watu wengi wana H pylory ukiwapima stool,lakini unakuta hana dalili za vidonda vya tumbo..pia kuna watu wanapata Acid Reflux lakini hana vidonda vya tumbo.
Hivyo kipimo pekee cha ku verify vidonda vya tumbo ni Endoscopy.
Cc MENEMENE TEKERI NA PERESI
Usijaribu kutumia malimao ilihali una acid reflux, kuna watu wamepata acid reflux kwa kunywa malimao wakati mwanzo walikuwa wazima. Shauri ya kusikiliza madaktari uchwara wa mitandaoniupo sahihi kwenye maelezo, je kwa matumizi ya limau hayatonizidisha tatizo? mana wadau wamenambia niache tumia vitu vyenye acid
Limao italower hydrochloric acid? Chemistry ya wapi hii mkuu? Hivi kama wewe sio mtaalam wa kitu fulani si ukae kimya kuliko kuexpose your ignorance? Kutokujua kitu si dhambi, kama hujui usijioneshe kwamba unajua,hutapungukiwa kitu. Eti na " kuongeza Hydrogen Chloride gas inayokuchoma". Hata hujishtukiiLimao ni very weak acid ambayo itaweza ku lower hydrochloric acid inayozalishwa na kuongeza hydrogen chloride gas inayokuchoma!!
Pia doctor anaweza kukushauri utumie ant acids kama magnesium pia!!
Maji moto ni long term solution ikiwa ni habit Yako ya kila siku ili ku refresh digestive system!!
Yote yanawezekana, la kufanya ni kuhakikisha husemi naye zaidi ya mambonya dawaHamna jamaa..huyo ni doctor maarufu ata ukishukia nzuguni mwisho stand ya nanenane bodaboda wanamjua
hiyoLimao italower hydrochloric acid? Chemistry ya wapi hii mkuu? Hivi kama wewe sio mtaalam wa kitu fulani si ukae kimya kuliko kuexpose your ignorance? Kutokujua kitu si dhambi, kama hujui usijioneshe kwamba unajua,hutapungukiwa kitu. Eti na " kuongeza Hydrogen Chloride gas inayokuchoma". Hata hujishtukii
Kwamba mkuu, weak acid ukichanganya na strong acid,ile strong acid itapungua ukali wake??Tena IN VIVO? Hebu tuandikie equation ya hiyo reaction.Kwahiyo unatarajia weak acid ukichanganya na strong acid concentration ya strong acid itabaki vile vile!!?
Kinachomuunguza ni nini kama sio hydrogen chloride gas inayofanya reflux kwenye umio!!?
Unataka kuniambia ile hydrochloric acid inayozalishwa inaruka kuja kwenye umio!!?
Locally weak acid Ina uwezo wa ku lower concentration ya strong acid
hiyo
Pole sana mkuu. Kiungulia na maumivu ya kifua mara nyingi vinaweza kuhusiana na mfumo wa ulaji na mtindo wa maisha. Kwanza, jaribu kuacha kabisa sukari na kupunguza sana vyakula vya wanga kama wali, ugali, mikate, chapati, maandazi na hata maharage kwa kipindi fulani uone mabadiliko. Pia epuka matunda yenye sukari nyingi kama ndizi mbivu na yale yenye asidi nyingi kama machungwa na machenza. Maziwa nayo ni vyema ukayaepuka kwa muda.Kwa mwezi wa tatu sasa, nimekuwa nikusumbuliwa na maumivu ya kifua pamoja na kiungulia. Baada kujaribu kulienda deep tatizo nimegundua nasumbuliwa na hilo tatizo.
Naomba msaada wakuu
Na hili ni tatizo la jamii zetu ,juzi binti mmoja aling'atwa na mbwa badala apelekwe hospitali apate matibabu wakaishia kumpakaa mafuta sijui ya nini ,wanajua wenyewe .Huku mitaani mnatumia dawa bila kufanya vipimo kuhakiki kama kweli ni vidonda vya tumbo..kipimo pekee cha kuhakiki vidonda vya tumbo ni Endoscopy..ambapo mtaalamu atapitisha tube nyembamba mdomoni ikiwa na camera kwa mbele mpaka ifike kwenye utumbo mdogo..hiki kipimo ni ghali kidogo,kama huna bima andaa laki 3.
Lengo ni kuhakiki kama kweli client ana vidonda vya tumbo,na kama vipo vipo kwa uwingi gani na vina ukubwa gani.Acheni kutumia dawa za vidonda vya tumbo bila kufanya vipimo. Watu wengi wana H pylory ukiwapima stool,lakini unakuta hana dalili za vidonda vya tumbo..pia kuna watu wanapata Acid Reflux lakini hana vidonda vya tumbo.
Hivyo kipimo pekee cha ku verify vidonda vya tumbo ni Endoscopy.
Cc MENEMENE TEKERI NA PERESI
Ila hii nchi, yaani hadi leo hii kuna watu hawajui kama mtu kang'atwa na mbwa kitu cha kwanza ni kumkimbiza hospital haraka? . Mi wakati nakua nimesimuliwa stori watu waliong'atwa na mbwa wakikosa matibabu wanaanza kubweka kama mbwa na kufanya niwe na hofu ingawa sijawahi kushuhudia mtu akifikia hiyo stage ya kubweka. Hao wanafamilia ya huyo binti hizo stori za watu kubweka kama mbwa wao hawajawahi kuzisikia? Kifo cha uzembe kabisa.Na hili ni tatizo la jamii zetu ,juzi binti mmoja aling'atwa na mbwa badala apelekwe hospitali apate matibabu wakaishia kumpakaa mafuta sijui ya nini ,wanajua wenyewe .
Leo dada kapumzika